marisi schwein
JF-Expert Member
- Dec 3, 2013
- 1,037
- 3,146
- Thread starter
-
- #81
C Class ni entry level Mercedes Benz Sedan. E class ndio executive Sedan. Cha ajabu Wajapan wanakimbizwa mpaka na C Class! Hapo ndio utajua kuna Wajapan na Germany machines πππΏHuwezi kutumia C class kuitambua Benz..tena C200 ni gari za watu wa college..!
Pita youtube itafuta hata video za N43 halafu soma comments, wale siyo ngozi nyeusi kama sisi wanaolalamika.Tatizo ni nini, mbona huko yanapotoka hayapelekwi sana kwa mafundi?
Wanachanganya kweli.. C class ni kama Premio tuu..C Class ni entry level Mercedes Benz Sedan. E class ndio full executive Sedan. Cha ajabu Wajapan wanakimbizwa mpaka na C Class! Hapo ndio utajua kuna Wajapan na Germany machines πππΏ
Kuna mmoja kasema hakuna benz ( it means S Class included) inaifikia Crown kwa comfortability nikawa shockedWanachanganya kweli.. C class ni kama Premio tuu..
E class ni mid size..
Full size ni S Class.. Hiyo ndio Mercedes yenyewe..
Hata kwenye production.. S Class ndio ilikuwepo mwanzo kabla hawajaleta E na C class..!
Najua, nilichomaanisha ni kwamba kununua Bimmer au Mercedes ambayo karibia kila kitu kimeshachoka itakuchukuwa gharama kubwa sana mpaka kuja kuiweka sawa na kuenjoy Bimmer ambapo hiyo gharama ni bora utafute gari za kawaida ( ambazo hazing majina) lkn mpya kidogo ambapo utaitumia kwa muda mrefu zaidi, kununua Mercedes au Bimmer iliyokwishachoka ni kupoteza hela na siyo clever kwani aidha utaipaki kwa kushindwa kuirepair au itakubidi utafute gari nyingine ya pembeni kama toyota ya kutumia kila siku, sasa ukijumlisha hizo stress zote ni bora ujinyime ununue gari ( siyo brand name lkn nzuri) ya miaka max 5 lkn utaishi nayo bila ya stress, β¦
Wawe wanaomba hata lifti wakiona S Class inakatisha barabarani.. Then waelewe definition ya comfortability..!Kuna mmoja kasema hakuna benz ( it means S Class included) inaifikia Crown kwa comfortability nikawa shocked
Kadhalika tupambanie kuondoa matuta njiani na kuweka speed cameras kuyalinda magariBro numberβs donβt lie
Go for Mercie
Good Fuel economy,performance ni ya kawaida kiukweli japo ina top 260km/hr labda usichukue hizi cc1780
Comfotability inategemea una compare na gari ipi lkn haiifiki kwa gari kama crown.
All in all you buy mercides you buy pride
Kila utapoonekana wanajua una pesa[emoji28]
Maintenance ni expensive kiasi
Hizi C200 kompressor hazina magonjwa mengi ndo maana hutasikia kelele humu za wamiliki wa Benz
Ni gari reliable sana na ngumu mno.umeme kiasi
ONYO:kama hukai mjini kene barabara na mafundi wa uhakika achana nayo mkuu
Gari ya 2010 bado mpya sana na unaponunua gari used ya japan unaangalia milage imetembea umbali gani most zinakua chini ya 100k KMs hiyo bado mbichi sana kwa bongo gari hadi ichoke iwe umetembea KM zaidi ya 2M , crown zanyewe nyingi ni za 2004 hadi 2007 ist ni za 2003 na bado inauzwa 14M hiyo Gari ya 2010 ni mali mpya sana na mbichi na unakuta bei ina range 16- 20M
Haha.Nimeongelea comfortability tu sio prestige wala durability,mjapani yuko vizuri kwenye comfortability amini usiamini,ukipanda VX V 8 lile la samia ni kama uko peponi,hakuna gari ya mzungu inaifikia kwa comfortability
Huko kwa serikali ya CCM huwezi kuta Crown kwenye list ya state cars.Kuna mmoja kasema hakuna benz ( it means S Class included) inaifikia Crown kwa comfortability nikawa shocked
C200 ipi mkuu? Kuna w203, w204, w205 na w206Muonekano wa C200 huwa unanivutia sana...
Kuna jamaa alisema Crown ndio gari inayotumika na mfalme wa Japan π. Nikajiuliza kwa safety features zipi?Huko kwa serikali ya CCM huwezi kuta Crown kwenye list ya state cars.
Its either VXR, S Class, 7 Series sometimes Nissan Patrol.
Nakuhakikishia hakuna serikali duniani yenye Toyota Crown kama state cars au wanazoendea kuwachukua marais wenzao.
W204 iko makini sana...C200 ipi mkuu? Kuna w203, w204 na w205.
Aisee huwa napishana na IT zinazoenda kwenye hizo nchi hao jamaa wanasukuma ndinga za ukweli Sana..Umeenda mbali sana, we shuka Malawi,Zambia, Zimbabwe, DRC wana magari mkasi sana
Japan gari ya Waziri mkuu ni crownHuko kwa serikali ya CCM huwezi kuta Crown kwenye list ya state cars.
Its either VXR, S Class, 7 Series sometimes Nissan Patrol.
Nakuhakikishia hakuna serikali duniani yenye Toyota Crown kama state cars au wanazoendea kuwachukua marais wenzao.
Yeah ile kitu ni moto kwa habari ya muonekano ( physical appeal). BMW alikalishwa mapema snW204 iko makini sana...
Acha uongo mzee ni Toyota Century. Soma hapa chini kidogo uelimikeJapan gari ya Waziri mkuu ni crown
Mimi naona watu wanaongea tu mimi na bmw 2010 cc 2000 ya 320I ? Nimenunua 2020 zaid ya kumwaga oil ,kubadili brake pad aijawai nisumbua nilinunua ikiwa na km 38000 mpaka sasa nakaribia 80000 na ndio gari yangu kwa kilakitu na before nilikuwa na crown but ilinisumbua sana kwenye ac ilikuwa inauwa compresa but for bmw series sijawai jutaKwa mwaka 2010 BMW ya kuchukua ni 323i au 335i(kama ana pesa ya wese na anataka kunyanyasa watu barabarani).
The rest atakuja kulalamikia watu humu ndani.
323i ya 2010 ina Cc2500 ikiwa na engine ya N52B25 wakati 335i ya 2010 ina Cc3000 N55 with twin scroll turbo...
The rest ndio zina engine kama N43, N45, N53, N54 ambazo zote ni engine za majaribio na zilifeli...
Nimekusoma mkuu, ni kwamba mjerumani hataki ubabaishaji na vihela vya mawazo.Inategemea unataka ya mwaka gani. Ila hakuna Affordability kwenye gari za mjerumani. Itakuwa affordable kununua lakini siyo kuimaintain.