2010 BMW 320i vs Mercedes Benz C Class

C Class ni entry level Mercedes Benz Sedan. E class ndio full executive Sedan. Cha ajabu Wajapan wanakimbizwa mpaka na C Class! Hapo ndio utajua kuna Wajapan na Germany machines πŸ˜‚πŸ™ŒπŸΏ
Wanachanganya kweli.. C class ni kama Premio tuu..
E class ni mid size..
Full size ni S Class.. Hiyo ndio Mercedes yenyewe..
Hata kwenye production.. S Class ndio ilikuwepo mwanzo kabla hawajaleta E na C class..!
 
Wanachanganya kweli.. C class ni kama Premio tuu..
E class ni mid size..
Full size ni S Class.. Hiyo ndio Mercedes yenyewe..
Hata kwenye production.. S Class ndio ilikuwepo mwanzo kabla hawajaleta E na C class..!
Kuna mmoja kasema hakuna benz ( it means S Class included) inaifikia Crown kwa comfortability nikawa shocked
 

Gari ya 2010 bado mpya sana na unaponunua gari used ya japan unaangalia milage imetembea umbali gani most zinakua chini ya 100k KMs hiyo bado mbichi sana kwa bongo gari hadi ichoke iwe umetembea KM zaidi ya 2M , crown zanyewe nyingi ni za 2004 hadi 2007 ist ni za 2003 na bado inauzwa 14M hiyo Gari ya 2010 ni mali mpya sana na mbichi na unakuta bei ina range 16- 20M
 
Kadhalika tupambanie kuondoa matuta njiani na kuweka speed cameras kuyalinda magari
 

Siyo kweli gari ya miaka 10 itembee km 100 000 tu tena in a developed country? Kama zipo ni chache sana na zitanunuliwa na Wajapani wenyewe kwani wanazihitaji pia, hizo zinazokuja Bongo zimeshachezewa tayari na km siyo za kweli, kwani BMW ya km laki moja tu haiwezi kuuzwa milioni 14.

Hata wewe unaweza kupiga hesabu ya kinadharia tu kwa Bongo, tuseme unaishi Mbezi beach unafanya kazi mjini posta kwenda kazini na kurudi nyumbani ni km 20*2=40/siku *siku 240/ mwaka = 9600 km * 10 miaka= 96 000 km/ miaka 10.

Sasa hiyo ni kwamba unaitumia gari kwenda kazini na kurudi basi, na j’tatu - Ijumaa, weekend inapaki na sijaweka safari za mikoani, na utumie gari hivyo kwa miaka 10 ndiyo uweze kupata hiyo km 100 000 unayoiongelea, unafikiri wangapi wanafwata hivyo? Tena huko kulikoendelea na ma highway yao gari zinatembea sana, huo ni mfano tu!
 
Nimeongelea comfortability tu sio prestige wala durability,mjapani yuko vizuri kwenye comfortability amini usiamini,ukipanda VX V 8 lile la samia ni kama uko peponi,hakuna gari ya mzungu inaifikia kwa comfortability
Haha.

Hiyo ya Samia si ipo moja nchi nzima.

Ushapanda gari zote za mzungu duniani mpaka ujue zilivyo kulinganisha na ya huyo mama samia?
 
Kuna mmoja kasema hakuna benz ( it means S Class included) inaifikia Crown kwa comfortability nikawa shocked
Huko kwa serikali ya CCM huwezi kuta Crown kwenye list ya state cars.

Its either VXR, S Class, 7 Series sometimes Nissan Patrol.

Nakuhakikishia hakuna serikali duniani yenye Toyota Crown kama state cars au wanazoendea kuwachukua marais wenzao.
 
Huko kwa serikali ya CCM huwezi kuta Crown kwenye list ya state cars.

Its either VXR, S Class, 7 Series sometimes Nissan Patrol.

Nakuhakikishia hakuna serikali duniani yenye Toyota Crown kama state cars au wanazoendea kuwachukua marais wenzao.
Kuna jamaa alisema Crown ndio gari inayotumika na mfalme wa Japan πŸ˜€. Nikajiuliza kwa safety features zipi?
 
Japan gari ya Waziri mkuu ni crown
Acha uongo mzee ni Toyota Century. Soma hapa chini kidogo uelimike

In 2008, the Japanese government changed the official car to the Lexus LS. In addition to having the same level of luxury and safety as the Toyota Century, the new Lexus LS had lower fuel consumptions and lower CO2 emissions.[4]

In 2020, the Japanese government picked the newest version Toyota Century as the Prime Minister's Official Car instead of the new Lexus LS.[4][3]
 
Mimi naona watu wanaongea tu mimi na bmw 2010 cc 2000 ya 320I ? Nimenunua 2020 zaid ya kumwaga oil ,kubadili brake pad aijawai nisumbua nilinunua ikiwa na km 38000 mpaka sasa nakaribia 80000 na ndio gari yangu kwa kilakitu na before nilikuwa na crown but ilinisumbua sana kwenye ac ilikuwa inauwa compresa but for bmw series sijawai juta

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…