2013 kurudi nyuma ukipata division one watu wanakushangaa ila siku hizi ukiikosa watu wanakushangaa zaidi!

2013 kurudi nyuma ukipata division one watu wanakushangaa ila siku hizi ukiikosa watu wanakushangaa zaidi!

Mtoto wa sasahivi hajibu Physics ya 2013, ila T.O wa 2013 anaweza ku breeze physics ya 2017 onwards with easy tu.

Swali la heat engine physics hata mmoja hajibu, guess what ??
Physics na masomo ya sasahivi wame scrap topics nyingi zimeenda chuo thus why hata vilaza wanakunywa na ku mention tu.
Uko sahihi mi ni mwalimu nayaona haya
 
Kama shule ina division 3 A level mwaka huu wao ni vilaza wa kutupwa.

🤣🤣🤣🚮🚮🚮. Miaka hii usipofaulu ww ni kilaza kabisa 😝😝😝
 
Idiots 🚮🚮🚮🚮

Screenshot_20230714-134231~2.png


Screenshot_20230714-134142~2.png
 
Hahaa acha vichekesho hivi unajua passmark za sasa za mtihani wa form two ?,ni D mbili au C moja na bado wanafeli hivi wangerudisha ule wastani wa 30 wangapi wangefaulu?,mitihani ile ya zamani ilikua kigongo na yenye terminologies tata ila sku izi mteremko
Pitia review Tena pole sana kama ulikuwa mmoja wa waliokuwa wanafeli kupata 30 wastani
 
Pitia review Tena pole sana kama ulikuwa mmoja wa waliokuwa wanafeli kupata 30 wastani
Sijakuelewa hoja yako, nimesema serikali imeshusha passmark za form two kutoka wastani wa 30 mpaka D mbili au C moja ,nikasema kwamba kwa madent wa sasa ingerudishwa ile average ya 30 wachache wangetoboa
 
Hata zamani mitihani ilikuwa rahisi sana sema mlikuwa wengi vilaza na mnasoma kwenye mazingira magumu sana imagine miaka Hiyo mtu anafeli kupata wastani wa 30 ili kivuka form two
Saizi wamerahisha zaidi mwanafunzi anatakiwa kupata division 4 ya 33 ili kwenda form 3. Hiyo ni sawa na D 2 tuu of which zamani ungepata lakini bila wastani wa 30 zisingekusaidia.

Nakubaliana na wote waliosema saizi teknolojia inasaidia sana wanafunzi kufaulu. Zamani ulikua unatumia energy kubwa sana kama hukuelewa darasani wakati siku hizi unaingia youtube na kukutana na maelezo ya kutosha.
 
Mitihani ya zamani ilikuwa mirahisi Sana , sema hamkusoma katika mazingira sahihi. Na Bora.

Yaani Watz bado Sana unapima ubora wa Elimu kwa watu kufeli Sana ?

Unashindwa kuelewa teknolojia imekuwa Sana Muda huu ili kujua vitu vingi sio lazima kukaa darasani au haujiui? Watu mmesoma kwa Viboko so niujinga .kuamini Nyie mpo Bora na wenzenu sio Bora.
Elimu ya siku hizi kanyaboya na watoto wamekuwa kanyaboya.

Sector zinawatendaji wasiojielewa. Dharau zimekithiri
 
Mtoto wa sasahivi hajibu Physics ya 2013, ila T.O wa 2013 anaweza ku breeze physics ya 2017 onwards with easy tu.

Swali la heat engine physics hata mmoja hajibu, guess what ??
Physics na masomo ya sasahivi wame scrap topics nyingi zimeenda chuo thus why hata vilaza wanakunywa na ku mention tu.
Je hapo twaboresha au twaharibu elimu yetu?
 
Wakija chuo kikuu ndio tunajua kuwa yale matokeo ni maamuzi ya watu kadhaa tu,wala sio reflection ya uelewa wa wanafunzi!

Taifa liko pabaya sana kuliko wakati wowote kielimu!

Kinyume chake,tuendelee kujidanganya hapa kuwa usomaji na urahisi wa usomaji umeboreka sababu ya teknolojia.

Hivi useme toka ile mass failure ya 2013,mwaka ambao mimi naamini ndio wa mwisho kuwa na matokeo halali ya kidato cha 6,eti 2014 na kuendelea tayari mazingira yako vizuri na watu wanafaulu hadi leo?,hivyo tu kweli?,tuwe serious kidogo basi!
Kina fulani walimpinga sana Ndalichako ila yale ndiyo yalikuwa matokeo sahihi kwa taifa letu, tatizo lilikuwa siasa wakaona wayaweke sawa.
Mzanzibar kaingia pale kwa sasa kila mtu anafaulu
 
Hahaa acha vichekesho hivi unajua passmark za sasa za mtihani wa form two ?,ni D mbili au C moja na bado wanafeli hivi wangerudisha ule wastani wa 30 wangapi wangefaulu?,mitihani ile ya zamani ilikua kigongo na yenye terminologies tata ila sku izi mteremko
Kwanza kupangilia kwa Division kwa Madarasa ya chini ya Form Four ni upumbavu.
Waweke Wastani kama mtu hafikishi akalime
 
Miaka ya zamani ukisikia mtu amepata division one ni heshima kubwa sana kwake kuanzia shuleni mpaka mtaani anapoishi, ukipata one ya Saba kwa O Lev au one ya 3 advance basi mkoa mzima utapewa heshima yako na kuna uwezekano ukatafutwa.

Maisha siku hizi yamebadilika hata hata ukipata one ya single digit (7-9) kwa O Lev au 3-5 kwa advance hakuna atakayeshangaa maana ni kawaida sana na utakuta darasani kwenu wenye hizo one mpo zaidi ya 30.

Siku hizi watu watakushangaa Ukikosa one utaonekana kiazi ajabu ,ukipata division 2 hata ya 10 unaonekana umefeli.

Elimu ilikuwa zamani siku hizi kanya boya tu.

Hahahahaa ni hatari sana ,zamani kweli ukipata Div I ,Kijiji kizima wanakujua na hata matokeo ya darasa la 7 ukifaulu ni Bonge la heshima....Shule zetu zamani Div I point 7(form iv) au Div I Point 3(Form vi) ilikuwa either hakuna au ni moja tu lakini sasa unashangaa eti darasa karibia wote wamepiga One ya 7 😀 😀 😀 😀.
 
Siku hizi watu watakushangaa Ukikosa one utaonekana kiazi ajabu ,ukipata division 2 hata ya 10 unaonekana umefeli.
Waliokua wanasahisha zamani sio wanasahisha sasa hivi alafu kuna Mambo yanabadirika it's all about timing kuna Mambo ulifundishwa 2013 kushuka chini sasa hivi utakuta hawafundishwi

Alafu mitihani majibu wanalishwa sasa hapo kufeli ufeli wewe tu tofauti na zamani watu walikua wanahaha kuzisaka possible paper za maswali na wanayafanya kabla wanapitia past papers sikuhizi wanerelax tu

Siku hizi imekua tofauti wanalishwa majibu ya mitihani km yalivyo kabla ya mitihani sasa ukifeli hapo wewe ni lofa kiwango cha SGR
 
Mitihani ya zamani ilikuwa mirahisi Sana , sema hamkusoma katika mazingira sahihi. Na Bora.

Yaani Watz bado Sana unapima ubora wa Elimu kwa watu kufeli Sana ?

Unashindwa kuelewa teknolojia imekuwa Sana Muda huu ili kujua vitu vingi sio lazima kukaa darasani au haujiui? Watu mmesoma kwa Viboko so niujinga .kuamini Nyie mpo Bora na wenzenu sio Bora.
Hilo mimi nakukatalia. Ukichukua mitihani ya zamani ukampa mwanafunzi wa Sasa, nakuhakikishia utalia. Mitihani ya huko nyuma ilikuwa balaa na ndiyo maan hata walimu waliokuwa wanapatikana ingawa walikuwa wa daraja la chini lakini walikuwa hatari na nusu ukilinga Isha na product ya walimu wa sasa wengi wao ni tia maji tia chumvi ( Ila heshima iende kwao wote). Fikiria wale wa walimu wa darasa la 7 waliotufundisha jinsi walikvyokuwa wanapiga kipindi balaa lakini leo ukichukua mwanafunzi aliemaliza la 7 ukimwambia afundishe Primary utalia kwa uchungu.
 
2013 ni zamani!? Aisee, kweli Jf ni Kokoro....tumetofautiana rika.
 
Back
Top Bottom