Ravalomanana
JF-Expert Member
- Sep 8, 2018
- 1,557
- 1,540
Uko sahihi mi ni mwalimu nayaona hayaMtoto wa sasahivi hajibu Physics ya 2013, ila T.O wa 2013 anaweza ku breeze physics ya 2017 onwards with easy tu.
Swali la heat engine physics hata mmoja hajibu, guess what ??
Physics na masomo ya sasahivi wame scrap topics nyingi zimeenda chuo thus why hata vilaza wanakunywa na ku mention tu.
Pitia review Tena pole sana kama ulikuwa mmoja wa waliokuwa wanafeli kupata 30 wastaniHahaa acha vichekesho hivi unajua passmark za sasa za mtihani wa form two ?,ni D mbili au C moja na bado wanafeli hivi wangerudisha ule wastani wa 30 wangapi wangefaulu?,mitihani ile ya zamani ilikua kigongo na yenye terminologies tata ila sku izi mteremko
Sijakuelewa hoja yako, nimesema serikali imeshusha passmark za form two kutoka wastani wa 30 mpaka D mbili au C moja ,nikasema kwamba kwa madent wa sasa ingerudishwa ile average ya 30 wachache wangetoboaPitia review Tena pole sana kama ulikuwa mmoja wa waliokuwa wanafeli kupata 30 wastani
Saizi wamerahisha zaidi mwanafunzi anatakiwa kupata division 4 ya 33 ili kwenda form 3. Hiyo ni sawa na D 2 tuu of which zamani ungepata lakini bila wastani wa 30 zisingekusaidia.Hata zamani mitihani ilikuwa rahisi sana sema mlikuwa wengi vilaza na mnasoma kwenye mazingira magumu sana imagine miaka Hiyo mtu anafeli kupata wastani wa 30 ili kivuka form two
Elimu ya siku hizi kanyaboya na watoto wamekuwa kanyaboya.Mitihani ya zamani ilikuwa mirahisi Sana , sema hamkusoma katika mazingira sahihi. Na Bora.
Yaani Watz bado Sana unapima ubora wa Elimu kwa watu kufeli Sana ?
Unashindwa kuelewa teknolojia imekuwa Sana Muda huu ili kujua vitu vingi sio lazima kukaa darasani au haujiui? Watu mmesoma kwa Viboko so niujinga .kuamini Nyie mpo Bora na wenzenu sio Bora.
Kwamba O level na A level ndo inafanyika hivyo?Mitihani ya matipo choisi na kutia giza viduara kwa kutumia penseli. Hata ukifumba macho unaweza kubahatisha tu!
Je hapo twaboresha au twaharibu elimu yetu?Mtoto wa sasahivi hajibu Physics ya 2013, ila T.O wa 2013 anaweza ku breeze physics ya 2017 onwards with easy tu.
Swali la heat engine physics hata mmoja hajibu, guess what ??
Physics na masomo ya sasahivi wame scrap topics nyingi zimeenda chuo thus why hata vilaza wanakunywa na ku mention tu.
Kina fulani walimpinga sana Ndalichako ila yale ndiyo yalikuwa matokeo sahihi kwa taifa letu, tatizo lilikuwa siasa wakaona wayaweke sawa.Wakija chuo kikuu ndio tunajua kuwa yale matokeo ni maamuzi ya watu kadhaa tu,wala sio reflection ya uelewa wa wanafunzi!
Taifa liko pabaya sana kuliko wakati wowote kielimu!
Kinyume chake,tuendelee kujidanganya hapa kuwa usomaji na urahisi wa usomaji umeboreka sababu ya teknolojia.
Hivi useme toka ile mass failure ya 2013,mwaka ambao mimi naamini ndio wa mwisho kuwa na matokeo halali ya kidato cha 6,eti 2014 na kuendelea tayari mazingira yako vizuri na watu wanafaulu hadi leo?,hivyo tu kweli?,tuwe serious kidogo basi!
Kwanza kupangilia kwa Division kwa Madarasa ya chini ya Form Four ni upumbavu.Hahaa acha vichekesho hivi unajua passmark za sasa za mtihani wa form two ?,ni D mbili au C moja na bado wanafeli hivi wangerudisha ule wastani wa 30 wangapi wangefaulu?,mitihani ile ya zamani ilikua kigongo na yenye terminologies tata ila sku izi mteremko
Miaka ya zamani ukisikia mtu amepata division one ni heshima kubwa sana kwake kuanzia shuleni mpaka mtaani anapoishi, ukipata one ya Saba kwa O Lev au one ya 3 advance basi mkoa mzima utapewa heshima yako na kuna uwezekano ukatafutwa.
Maisha siku hizi yamebadilika hata hata ukipata one ya single digit (7-9) kwa O Lev au 3-5 kwa advance hakuna atakayeshangaa maana ni kawaida sana na utakuta darasani kwenu wenye hizo one mpo zaidi ya 30.
Siku hizi watu watakushangaa Ukikosa one utaonekana kiazi ajabu ,ukipata division 2 hata ya 10 unaonekana umefeli.
Elimu ilikuwa zamani siku hizi kanya boya tu.
Waliokua wanasahisha zamani sio wanasahisha sasa hivi alafu kuna Mambo yanabadirika it's all about timing kuna Mambo ulifundishwa 2013 kushuka chini sasa hivi utakuta hawafundishwiSiku hizi watu watakushangaa Ukikosa one utaonekana kiazi ajabu ,ukipata division 2 hata ya 10 unaonekana umefeli.
Hilo mimi nakukatalia. Ukichukua mitihani ya zamani ukampa mwanafunzi wa Sasa, nakuhakikishia utalia. Mitihani ya huko nyuma ilikuwa balaa na ndiyo maan hata walimu waliokuwa wanapatikana ingawa walikuwa wa daraja la chini lakini walikuwa hatari na nusu ukilinga Isha na product ya walimu wa sasa wengi wao ni tia maji tia chumvi ( Ila heshima iende kwao wote). Fikiria wale wa walimu wa darasa la 7 waliotufundisha jinsi walikvyokuwa wanapiga kipindi balaa lakini leo ukichukua mwanafunzi aliemaliza la 7 ukimwambia afundishe Primary utalia kwa uchungu.Mitihani ya zamani ilikuwa mirahisi Sana , sema hamkusoma katika mazingira sahihi. Na Bora.
Yaani Watz bado Sana unapima ubora wa Elimu kwa watu kufeli Sana ?
Unashindwa kuelewa teknolojia imekuwa Sana Muda huu ili kujua vitu vingi sio lazima kukaa darasani au haujiui? Watu mmesoma kwa Viboko so niujinga .kuamini Nyie mpo Bora na wenzenu sio Bora.