2021 AFCON Special Thread

Mane kaaonyesha maana halisi ya africa ...hii inanikumbusha 2010 ..Asamoah gian alikua na nafas ya kutuvusha kwenda hatua ya nusu fainali WC ila matokeo yake akakosa penat
 
Huyu Salah Asilete ujuaji hayupo liverpool sehemu ana nafasi ya kutoa pasi mwingine afunge anakoma yy mwisho wa siku ana butua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…