Muda wa kumuona kocha mwenye midadi kuliko wote
Huyu kocha anakuwa kivutio sana, haziishi dk 5 hawajamuonesha
Yaani hawa CAF nao wajinga kweli....sasa refa kutoka guatamala wa nini tena jamani?!! Dah waafrika tuna shida ya akili
Mie wamenikera hawa caf...tournament ya africa, msouth america anakuja kuofficiate wa nini? Mbona wao hawatualiki kwao tukachezeshe mechi.Mimi kanikera sana huyu refa na mikadi yake kwa Algeria, wachezaji muhimu kama Bensebain, bounedjah na mandi kuonyeshwa kadi za njano,
Mie wamenikera hawa caf...tournament ya africa, msouth america anakuja kuofficiate wa nini? Mbona wao hawatualiki kwao tukachezeshe mechi.
FT Algeria 0-1 EQG
Wamebebwa kivipi?Asante sana refer kwa kuwabeba ndugu zako Guinei
Jamani taifa stars tusilalamike tunastahili kutulia nyumbani tuu maana mbaya wetu ndio kama hivyo...mende kadondosha kabatiWamebebwa kivipi?
Mtetezi kafaa