2022 Haya ndio makabila yanaongoza kwa maendeleo

Unaumwa wew ndo maana nikamwambia kwamba izo jamii mbona hujataja makabila yao? Unakurupuka tu! Kuwa 🤓 kama ndo uwezo wako umefikia hapo basi tunajua jamii za waarabu ,wahindi na wachina ndo wanaingiza containers nyingi nyie wachuuzi ndo mmebaki kuwa middle men ..Kaa kwa kutulia😂😂😂😂Ushamba unakusumbua ..bandari pale TZDL
 
Endeleeni kukaririshana upumbavu miaka yote kuja kushtuka nyote mtakuwa watumwa wawasukuma kwa uzumbukuku wenu.
Hapo Mwanza kwenyewe wanao run huo mji ni Wakurya, Wasukuma wapo porini na mang'ombe yao tu na kuzaliana kama panya
 
Hapo Mwanza kwenyewe wanao run huo mji ni Wakurya, Wasukuma wapo porini na mang'ombe yao tu na kuzaliana kama panya
Ila watu mnadharau sana aese! Yaani ukienda Libeti pale ukahesabu maduka ya wakurya na wasukuma utasema wakurya ni wengi? Hata gorofa nyingi hapo mwanza ni za wasukuma Mipa,Nyerere roadplaza,mongo,rock beach, kishimba apartment bugando hill,Ekakriff,Holmand,pigeon,The farmshotel, Isamilo hotel, mata wa capri point vijana wa Geita wachimba dhahabu wamejenga mahekalu huko n! Majengo yanayimilikiwa na wakurya hapo mwanza kama ni mengi ukilinganisha na wasukuma!
Tatizo nyingi vikabila vidogo mnainfiriolity complex na wasukuma hawanaga kelele! Yaani wakurya wanawilaya moja tu ambayo haina hadhi hata nusu ya kahama ndo wawazidi wasukuma!?
Mna chuki sana nyie! Vijana wa kisukuma wanapesa sana ukienda stendi buzuruga ukiangalia wamiliki wengi wa mabasi ni wasukuma fikoshi,isamilo,sabuni,batco,malangwa,coaster za kwenda Geita ,kahama shinyanga ,misungwi asilimia kubwa ni za wasukuma! Chuki ndo inawasumbua pia hata ukiangalia kwa hali tu ya kawaida wasukuma wa bariadi wanyantuzu utawalinganishaje na wakurya hata kiutafutaji?
Sema wakurya wanawatu wao identity kama Gachuma na kitana wazee wa zamani!
Lakini akina kishimba, Njiwa pori wote hao ni matajiri wakubwa ila hawana kelele!
 
Yule inasemekana ni mtu wa kigoma mama yake msukuma ila kakulia Geita na anafedha nyingi sana!
Ndo mwekezaji mzawa wa mgodi wa Nyanzaga!

Duuu kumbe Nyanzaga ni ya Baraka? Basi akina gachuma sio ligi zake tena ashawaacha
 
Ukweli wasukuma wako mbali kwanza ukumbuke peke yao wako kama mikoa mitano ukiacha mikoa mingine walitosambaa sasa ukiweka kwa asilimia jamaa wanautajiri mzuri tu na nadhani ni kabila ambao ukiacha mifugo wanamiliki ardhi kubwa anzia moro, lindi, mtwara wanamiliki ardhi kubwa sana
 
Gac
Duuu kumbe Nyanzaga ni ya Baraka? Basi akina gachuma sio ligi zake tena ashawaacha
Gachuma hata kishimba tu hamfii! Kwanza Mwanza hotel mpangaji tu! Ukitaka kujua shughuli za kishimba kwenye industry ya real estate nenda dodoma! Hapo mwanza pia kaanza kuwekeza apartment!
Ila sema wasukuma hawana showoff!
 
Nikwambie ukitaka kujau hawa mabwana hawana kelele nenda CRDB kahama ukaone magunia ya fedha yanaingia bank!
Lakini wenzangu na mimi akiotea milioni kumi kila mtu atajua!
Mtu yeyote mtafutaji nchi hii hawezi kusema msukuma hana hela!
Wateja wa bidhaa za hao matajiri wa hapo mwanza majority ni wasukuma halafu mtu anakuja kusema hawana hela!
Flight nyingi za ndege tanzania zinahusisha jiji Mwanza ambapo watu wa simiyu,shinganga,geita na musoma hushukia hapo je katika hao wengi ni akina nani?
 

Msukuma anahukumiwa kwa lafudhi tu lakini ni mtu ambae anapambana na alipomsukuma hata njaa inakimbia kabisa kabisa
 
Wasukuma ni biashara na kubebana elimu
 
Wasukuma ni biashara na kubebana elimu
Tatizo la wasukuma ni ushirikina sana, wanavyohamia sehemu wana waganga wao kabisa wamebeba matunguri, pia maendeleo inakuwa changamoto kwasababu wanazaliana sana, mama moja watoto nane.. Kwenye biashara nako wananishangaza, kuna sehemu niliwahi kwenda wafanyabiashara huko geita wamefunga maduka kisa kuna mgeni kafungua duka wanashinikiza mgeni awape kreti moja lasivyo hawafungui maduka
 
Hapa mwamba kuna kitu hujakitaja! Ndicho kinawabeba sana!
Uchawi ?

Kama ni ndio basi kwanini hata waganga hali zao ni duni ? Kwanini makabila yanayosifika kwa uchawi hali zao ni duni ?

uchawi una vigogo wake hapa Tz na inajulikana wazi kabisa vinara wa hizi teknolojia wapo Gambooshi, Ukerewe, Bagamoyo, Pangani, Sumbawanga, Kigoma, Shinyanga, Lindi, Kwanini hawana maendeleo kama wanaweza kuroga biashara ziwape maendeleo ?
 
Hili swala naomba mlifute litakuja kuwakosti siku moja
 
Mimi niko niliachia hapo ulipoanza kuwashusha wahaya na elimu zao...nikajua kabisa hauna kitu kichwani..

Hao wakinga na wapemba walivyo wachache ndo wakulinganisha na wahaya na wasukuma kweli...

Yes naweza kukubali kuwa wahaya hakuna wale matajiri extreme ( ingawa walikuwepo wakina Mfuruki aliyekuwa top ten ya matajiri na yule karamagi), lakini sidhani kuna kabila lenye middle class kama wahaya nchi hii...

Siku hiz mnawashusha kwa sababu ya mkoa wa kagera kuanguka kiuchumi na kuonekana maskini mbele ya serikali lakin reality maisha ya mtu mmoja huko kagera hasa uhayani na wale wahaya waliopo nje ya mkoa ni bora kuliko jamii nyingi nchi hii...

Yes wamekumbatia elimu na ajira hakuna...lakin ukifuatilia vzr sidhani kama kuna kabila lenye diaspora nchini kama wahaya...hawajaamua tu kuwekeza Bukoba...lakin hakuna kabila lenye watu wengi nje ya nchi ya kama wahaya...tena wameajiriwa huko nje kihalali kabisa...


Endelea kudhatau elimu na kuamini haiwasaidii wahaya....halafu unasema kagera mazingira ya elimu sio mazr[emoji23]...ungejua sasa kagera ina shule nyingi kuzidi Dar na soon itaipita kilimanjaro kwa shule za sekondari na ishaipita kilimanjaro kwa shule za msingi ( ina shule zaidi ya 1000 sasa)
 
watu wanaotusua saizi ni wenye biashara zao, hizo ajira kwa sasa wasomi wapo kila kabila na wamo maofisini na wengine zaidi wanahitimu kila mwaka na wengi zaidi wanazikosa ajira.

wahaya walikuwa juu ila wanazidi kushuka kwasababu wanakumbatia sana elimu pekee wakidhani tupo kipindi cha Nyerere kwamba wao na makabila machache ndio walikuwa wasomi pekee wenye sifa za kujazana maofisini, zama zimebadika kwa sasa wasomi wapo wengi kama utitiri karibu kila kabila wenye sifa za kuajiriwa, maifisini demographics zimebadilika mno.

Wahaya wajifunze kwamba ajira hazina mmiliki kwa sasa, karibu makabila yote yanafaidi keki hii, hatupo enzi zile kila bosi wa shirika anaruhusiwa kuajiri anaishia kuweka ndugu zake, kwa sasa ajira zinasimamiwa na wizara ya utumishi, mambo yamebadilika sana.

pia tukija katika maendeleo ya kimkoa Kagera ipo nyuma sana, ripoti zinaonyesha wazi Kagera ndio mkoa unaoongozea kwa umaskini na ni mkoa wa mwisho kuchangia pato la taifa.
 
Hakuna kabila lenye watu milioni 12, Tanzania, unaposema wasukuma milioni 12 ni uongo, wapo milioni 4 hivi au 5.
 
Top ten matajili Tanzania alikuepo Ally Mafuruki wa Infotex na Mengi, sasa wote ni marehem, hakiwa mengi peke yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…