2024 Africa Cup Of Nations (AFCON) | Special Thread. Mechi ya fainali, FT: Nigeria 1 - 2 Ivory Coast. Ivory coast abeba ubingwa. 11.02. 2024

Jamaa ni hatari sana. Pale nilivyoona anaenda kupiga nilihesabu goli. Maana jamaa huwa shooting accuracy yake ni kubwa sana.
Aliwachapa Man U the same kabisa na hii. Japo hii ni balaa zaidi maana alikabwa na kaachia mkwaju wa maana.
Remember the name
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…