2024 Africa Cup Of Nations (AFCON) | Special Thread. Mechi ya fainali, FT: Nigeria 1 - 2 Ivory Coast. Ivory coast abeba ubingwa. 11.02. 2024

Ki vipi mkuu?
Wachezaji STARS walishindwa kujua kubwa bado hawajashinda, ..walikuwa na nafasi za kumalizia game...Walianza kucheza kitoto kurudisha mpira nyuma..
Walishindwa kujua wako advantage ya mchazaji..
Angalia kosa alilofanya MWAMNYETO kabla ya saving ya MANULA...

Kwa kifupi palikuwa na utoto mwingi
 

Hii timu ni ugonjwa wa moyo kwa kweli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…