2024 Africa Cup Of Nations (AFCON) | Special Thread. Mechi ya fainali, FT: Nigeria 1 - 2 Ivory Coast. Ivory coast abeba ubingwa. 11.02. 2024

2024 Africa Cup Of Nations (AFCON) | Special Thread. Mechi ya fainali, FT: Nigeria 1 - 2 Ivory Coast. Ivory coast abeba ubingwa. 11.02. 2024

Ki vipi mkuu?
Wachezaji STARS walishindwa kujua kubwa bado hawajashinda, ..walikuwa na nafasi za kumalizia game...Walianza kucheza kitoto kurudisha mpira nyuma..
Walishindwa kujua wako advantage ya mchazaji..
Angalia kosa alilofanya MWAMNYETO kabla ya saving ya MANULA...

Kwa kifupi palikuwa na utoto mwingi
 
IMG_9519.jpeg
 
Wachezaji STARS walishindwa kujua kubwa bado hawajashinda, ..walikuwa na nafasi za kumalizia game...Walianza kucheza kitoto kurudisha mpira nyuma..
Walishindwa kujua wako advantage ya mchazaji..
Angalia kosa alilofanya MWAMNYETO kabla ya saving ya MANULA...

Kwa kifupi palikuwa na utoto mwingi

Hii timu ni ugonjwa wa moyo kwa kweli.
 
Back
Top Bottom