Malaika wa Misukosuko
JF-Expert Member
- Jul 16, 2021
- 2,470
- 7,376
EURO 2016 ilikuwa katika mtindo huu. Portugal [emoji1201] walipita kama best looser kwa ku draw match zote kwa maana walikiwa na points 3 na wakawa wa 3 katika kundi lao.Hii nayo ni michuano takataka Best loser ya Nin Mpira wa kishamba sana huu Tena wakizamani
Kama Ki asingeanza ningeangalia Algeria Vs Mauritania.
Hapo sasa ni katika kutafuta tu mmoja wa kwenda na kuepuka kurusha shilingi, mkiwa mna points sawa,goal difference sawa then kinachoamua ni magoli ya kufungaKwanini hawaangalii magoli ya kufungwa?
Anaanza?
Mautopolo yatajaa hapa.
Kipigo kitatokea mapema sana mkuuNimeyaona.
Angola tunafanya yetu mapema sana.
Leo utashabikia kwa moyo wote mkuu chama lako la BurkinabeNamuona Aziz k [emoji23][emoji1787][emoji16]
Burkinabe lazima amuadabishe mtuGame ya saizi Nasimama na Angola, hawa vijana wa Angola hawajui tu ushindi wao una umuhimu gani huku Ardhi ya Tanzania.
Angola Mtusaidie kuzima kelele zinazotarajiwa kuibuka nawaombeni.
Kwa msimamo ulivokaa ghana safari imeishia hapaRASMI: GHANA IS OUT
Chaaaap, hakuna kupoteza muda.Ki akitolewa tunabadili channel [emoji23]
Kwa nini hujamuweka Mwamnyeto ktk upambanaji mahiri?Bacca tu ndiyo anapambana kwa 100%
Hawa Angola ni wanetu hatuwezi watupa tulianza nao toka mwanzo na tunamaliza naoGame ya saizi Nasimama na Angola, hawa vijana wa Angola hawajui tu ushindi wao una umuhimu gani huku Ardhi ya Tanzania.
Angola Mtusaidie kuzima kelele zinazotarajiwa kuibuka nawaombeni.