Miguel Alvarez
JF-Expert Member
- May 28, 2019
- 2,856
- 5,430
Sasa YANGA kaingiaje hapa mkuu π€£π€£Game ya saizi Nasimama na Angola, hawa vijana wa Angola hawajui tu ushindi wao una umuhimu gani huku Ardhi ya Tanzania.
Angola Mtusaidie kuzima kelele zinazotarajiwa kuibuka nawaombeni.
π€£ππTumeweka kambi hapaAnaanza?
Mautopolo yatajaa hapa.
Na juzi tu hapa waalgeria waligomea tuzo za caf kisa Mahrez hakuwemo kwenye 3 bora ya mchezaji bora Africa, leo wao ndio wanamuanzisha benchi kwenye mechi muhimu ya maamuzi ya kusonga mbeleNani anamuweka benchi Mahrez tena?
Kabisa Leo nipo bukinabe kesho nakuwa home team yangu RD congoLeo utashabikia kwa moyo wote mkuu chama lako la Burkinabe
Bado ni sifuri kwa sifuriMtupee update huku umeme umeshakatwa na hawa vilaza wa taifa.
Mbona sijaitaja Yanga mkuuSasa YANGA kaingiaje hapa mkuu π€£π€£
Hamia kwenye mpira wa Algeria Mkuu, shida yote ya nini?Huyu Mtangangaji wa TBC haipit sekunde anamtataja AZIZ Kiiii hata asipogusa mpira aya Mahaba Kiboko
Tunafurahisha genge mkuu siunajuaMbona sijaitaja Yanga mkuu
Bukinabe Wanacheza kama jana Cote D'Ivoire.π€£ππTumeweka kambi hapa
Amna shida yoyte mkuuHamia kwenye mpira wa Algeria Mkuu, shida yote ya nini?
Mabululu anawafaa nyie simba sc aka kibegi fcπππ Bukinabe wakifungwa hawataamini