Mad Max
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 26,961
- 77,890
Pira tamuNyongeza ni Dakika 6
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pira tamuNyongeza ni Dakika 6
Mm sijui mkuu.Kwanini asilipike?
unajua Ayoub Lakred anakula ngapi?
Mda bd lkn maana saiv wako sawa.Nimeweka G G both teams scires nahisi kama napigwa.
Best loser 😅😅Hawa Namibia walipitaje hapa
🤣🤣Nimeweka G G both teams scires nahisi kama napigwa.
Bongo hamna timu ya kumlipa yuleMm sijui mkuu.
Nakuuliza tu mna hela ya kumtoa kwa waarabu au mnaleta tu porojo za uSiimba na Yanga.
Qatar anakula hela nzr kumshawishi kutoka pale lzm uweze mlipa zaid ya iyo.
Namibia kupata goli ni ngumu sana kwa kweli.Mda bd lkn maana saiv wako sawa.
Mna ji under rate sanaBongo hamna timu ya kumlipa yule
Kwa mipango yao inaonekana ni ngumu kweli.Namibia kupata goli ni ngumu sana kwa kweli.
Mpira mtamu sana japo chama lako linazinguaHT
Angola 2 - 0 Namibia
watoto hawamini kilichowatokeaGelson Dala[emoji123][emoji123][emoji123][emoji123][emoji123][emoji123][emoji123]
Sio kuji under rate huo ni ukweli mchungu.Mna ji under rate sana
Na bado kipindi cha pili tunawaongezaa!watoto hawamini kilichowatokea