2024 Africa Cup Of Nations (AFCON) | Special Thread. Mechi ya fainali, FT: Nigeria 1 - 2 Ivory Coast. Ivory coast abeba ubingwa. 11.02. 2024

Mna ji under rate sana
Sio kuji under rate huo ni ukweli mchungu.

Hawa simba na Yanga wana cutting Salary zao na wao kwa sbb team bado zinaendeshwa na watu binafsi.

Ww unahis kwnn Mayele kaenda Egypt?.. Unahis chanzo kikubwa ni maokoto.

Mkuu mambo ya kulipa hela sio porojo za Vijiweni mkuu.. Lzm mtoboke.. Ss ww umtoe Kule Dala kwny hela za kumwaga uje umlete huku kwny tia maji tia maji.. Mara leo tajr kaamka hajisikii kulipa kanuna mshahara uchelewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…