2024 Africa Cup Of Nations (AFCON) | Special Thread. Mechi ya fainali, FT: Nigeria 1 - 2 Ivory Coast. Ivory coast abeba ubingwa. 11.02. 2024

Ile AFCON 2002 niliinjoi sana Cameroon wakivaa singlendi na Senegal ya kina Diouf na Fadiga. Daah πŸ™„ πŸ™„
Captain Aliou Cisse ambaye kwasasa ndiye kocha alikosa penati muhimu na kuipa ubingwa Cameroon. Aliupa mpira mgongo na kugeuka na kupiga matokeo yake mpira ulienda nje.

Ila Senegal ilikuwa na watu unamkumbuka Papa Bouba Diop? Mwili mkubwa kama banda la chips, mido ya kazi sana
 
Senegal ile ni htr sn, kulikua na foward yao anaitwa henry camara aisee ni noma.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…