Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 49,759
- 118,798
Sijui wanapataga raha gani wakati nyuso zinaonyesha jua limeshakuchwa.Waafrika ni noma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijui wanapataga raha gani wakati nyuso zinaonyesha jua limeshakuchwa.Waafrika ni noma
Au kama vipi karibu Nigeria chama la wana au sogelea taratibu Morocco 🤣😁Hahahaaaa. Itakaposhinda nitaishangilia Mkuu. 🤣🤣
Hahahaaa. Nigeria ilikuwa enzi zile za kina Kanu Mkuu.Au kama vipi karibu Nigeria chama la wana au sogelea taratibu Morocco 🤣😁
Hivi hawa Morocco si ndio walisemaga sio wa Afrika? 😀Au kama vipi karibu Nigeria chama la wana au sogelea taratibu Morocco 🤣😁
Ya mwaka huu ni kalii sanaHahahaaa. Nigeria ilikuwa enzi zile za kina Kanu Mkuu.
Au ya mwaka huu ina maajabu?
Ni ulevi tu wa mafanikioHivi hawa Morocco si ndio walisemaga sio wa Afrika? 😀
Au ilikuwa ulevi wa mafanikio kule World Cup?
Kumbe! Hivi Imeingia Afcon na points ngapi Mkuu?Ya mwaka huu ni kalii sana
Kwa kweeli.Ni ulevi tu wa mafanikio
Tanzania tunamaliza na point 2, Bingwa atakuwa Egypt,