2024 Africa Cup Of Nations (AFCON) | Special Thread. Mechi ya fainali, FT: Nigeria 1 - 2 Ivory Coast. Ivory coast abeba ubingwa. 11.02. 2024

2024 Africa Cup Of Nations (AFCON) | Special Thread. Mechi ya fainali, FT: Nigeria 1 - 2 Ivory Coast. Ivory coast abeba ubingwa. 11.02. 2024

Captain Aliou Cisse ambaye kwasasa ndiye kocha alikosa penati muhimu na kuipa ubingwa Cameroon. Aliupa mpira mgongo na kugeuka na kupiga matokeo yake mpira ulienda nje.

Ila Senegal ilikuwa na watu unamkumbuka Papa Bouba Diop? Mwili mkubwa kama banda la chips, mido ya kazi sana
papa bouba diop RIP lile goli lake mechi ya ufunguzi na ufaransa 🔥
 
Back
Top Bottom