2024 Africa Cup Of Nations (AFCON) | Special Thread. Mechi ya fainali, FT: Nigeria 1 - 2 Ivory Coast. Ivory coast abeba ubingwa. 11.02. 2024

2024 Africa Cup Of Nations (AFCON) | Special Thread. Mechi ya fainali, FT: Nigeria 1 - 2 Ivory Coast. Ivory coast abeba ubingwa. 11.02. 2024

Nilitaka Ivory Coast wasogee sogee kidogo ili kuwatuliza mashabiki wao. Mimi huwa siyo fan wa mwenyeji yoyote wa mashindano makubwa kutoka mapema hata awe dhaifu kiasi gani
Ivory coast atakutana na mshindi wa kati ya Mali vs Burkina faso, nikishacheki game ya Mali vs burkina faso ndo nitakuja na jibu kamili la kam ivory coast tutasonga mbele au tutatolewa Robo fainali
 
Yamenichania mkeka makubwa jinga haya
Bingwa tetezi linakuwa jinga hivi akiyanani [emoji706]
Screenshot_20240130-025400.jpg

Ungeweka kama hivi halafu weka laki moya Mimi nasubiria Hawa wawili kesho hapo
 
Back
Top Bottom