2024 Africa Cup Of Nations (AFCON) | Special Thread. Mechi ya fainali, FT: Nigeria 1 - 2 Ivory Coast. Ivory coast abeba ubingwa. 11.02. 2024

Naona watu wanaichukulia poa egypt

Egypt kiufundi yupo vizuri


Mozambique team work imewapa point moja

Wakikaza watavuka makundi lkn sio rahisi
Hii Egypt hata ikitokea imevuka makundi.. Siwaoni kbs wakienda mbali watatupwa nje.

Watu tulikua tunatabir michuano hii kwa majina lkn nachokiona kuna underdog m1 atacheza final Au kubeba kbs hii ndoo wakileta masihara.

Sema tusbr round ya kwnz kila mtu acheze tutajua mbivu na mbichi.
 
Kounde?
 

Cape Verde wamemnyoosha Ghana. Hawa jamaa naona bado ni tishio.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…