2024 Africa Cup Of Nations (AFCON) | Special Thread. Mechi ya fainali, FT: Nigeria 1 - 2 Ivory Coast. Ivory coast abeba ubingwa. 11.02. 2024

anazingua wakati kuna kila dalili mechi ya jana refa alikua anaonekana yupo upande wao mfano rejea tukio la sadio mane ile ilikua red card bila mjadala njoo kwenye penati bila shinikizo.la watu wa VAR ile penati alitaka kupeta wakubali wametoka tukutane kwa mkapa 2027
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…