uran
JF-Expert Member
- Nov 11, 2013
- 10,392
- 15,948
Hakikagame za mtoano hizi mjomba ukijifanya unajua kupishana sana na watu utapa unachoktfuta
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakikagame za mtoano hizi mjomba ukijifanya unajua kupishana sana na watu utapa unachoktfuta
😂😂😂😂Bila uwepo wa Senegal michuano ishakuwa batili.
anazingua wakati kuna kila dalili mechi ya jana refa alikua anaonekana yupo upande wao mfano rejea tukio la sadio mane ile ilikua red card bila mjadala njoo kwenye penati bila shinikizo.la watu wa VAR ile penati alitaka kupeta wakubali wametoka tukutane kwa mkapa 2027Senegalese Player, Krepin Diatta accuses CAF of corruption, after they lost to Cote d'Ivoire on penalties in the AFCON.
He said "You’ve killed us, you’re corrupt! Keep your African Cup.
I’m sorry, but it’s ridiculous. I’m really sorry, but they’ve killed our competition there".View attachment 2889028
Mwanadamu haishi lawamaWhat he doubts? How Senegalese sabotaged by CAF
Kipa wa Kibu Dengaila kipa la yanga shati
Subiria sasa amphibia waje***** kipa kauzwa, ameruka kama anarukia kitandani
hamna kipa apo ana ruka ruka tu***** kipa kauzwa, ameruka kama anarukia kitandani
😂😂ila kipa la yanga shati