2024 Africa Cup Of Nations (AFCON) | Special Thread. Mechi ya fainali, FT: Nigeria 1 - 2 Ivory Coast. Ivory coast abeba ubingwa. 11.02. 2024

Hawa Warabu si walivo fika semi ya WC walisema wao sio waAfrica?.. Sasa kwnn wanalia lia kutoka AFCON?

Wao sio waAfrica ss wametuacha waBantu tupambanie kombe.. Wao si wana jeuri?.. Ss jeuri yao waende wakashindanie EURO au COPA AMERICA..wao si sio waAfrica?
 
afu kuna maswahili ya Dodoma iringa Road yanawashangalia yanasema ni Ndugu zao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…