Selikavu
JF-Expert Member
- Jul 14, 2017
- 6,346
- 14,546
Alisema MoroccoMorocco OUT
Naomba aletwe Paka hapa nijihakikishie alisemaje
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alisema MoroccoMorocco OUT
Naomba aletwe Paka hapa nijihakikishie alisemaje
afu Morroco waliweka asilimia mia kombe hili wanabeba ila kilichowakuta hawamini kabisaWaende tu nje na jeuri yao wkt team ya kawaida.
Tactics zao za unga unga mwana za WC za kuvizia vizia ziliwapa sana jeuri.
Pale SA naikubali kazi ya wamba watatu, Mudau, Themba Zwane na Mokoena.MODIBA
Huyu Mwamba niwe mkweli namkubali vibaya mno.
Na hapo anacheza beki ya kushoto. Akicheza kama kiungo huyo jamaa uta enjoy Boli hatari.
Mafala nilikua nawafatilia sana hata mitandao ya huko kwao Casablanca walijua hii shughuli imeisha.afu Morroco waliweka asilimia mia kombe hili wanabeba ila kilichowakuta hawamini kabisa
Wazee wa kaz chafuPale SA naikubali kazi ya wamba watatu, Mudau, Themba Zwane na Mokoena.
Hawa jamaa wanakichafua sana aiseeh.
Hawa watapata kipigo cha kikatili sana
Kwa nani ?
Ntakustua
Hatakiwi kuonyesha upandeMotsepe kapiga poker face, anaogopa hata kutabasamu.
Anajifanya kama hajapenda vile [emoji3][emoji3]Patrice motsepe (Rais wa CAF) mzee mnafiki sana huyu, Timu ya taifa lake imeshinda alafu anajifanya kam ushindi haumuhusu eti [emoji3][emoji23]
Inabid awe Neutral Mkuu yeye kiongozi ataenda kushangilia chooniPatrice motsepe (Rais wa CAF) mzee mnafiki sana huyu, Timu ya taifa lake imeshinda alafu anajifanya kam ushindi haumuhusu eti 😀😂
Anayefata kwny hii list kua surprised ni NIGERIA wakae mkao wa kula kbs.
Wamatumbi Watupu,
Itakuwa tamu kama asali ila kwa wanangu wa Cape Verde, hii ni kama kusukuma mlevi tuSOUTH AFRICA [emoji1221] VS [emoji1065] CAPE VERDE
Hii ndio Robo Fainali tamu tunaenda kuishuhudia.