Franklin1902
JF-Expert Member
- Aug 1, 2018
- 2,241
- 4,876
Kiukwl namshangaa Sana.Hivi ni kwanini kocha wa congo haoni kuna umuhimu wa mayele kucheza
Unakuta mechi zinachezwa miji tofauti lakini yule bwana unamkuta huku na kule yupo...Sasa hivi utamuona MOTSEPE huku Congo [emoji1078] vs [emoji1081] Ivory Coast
Maji lazima yajitenge na mafuta leoSafii sana Nigeria jamaa walikua wanchelewa tu gari kufika kituoni
Hizi sio zinatengenezwa baada ya Mechi? Hebu tuleteeni kati ya the Leopards na The Elephants tuoneView attachment 2897361
Huyu paka auliweee
Ndio mvala kapiga vzr hata mechi iliyopita alipiga vzrMpigaji hapo ni Mvala tu. Huyu ndio alitakiwa kuanza ili kuonyesha mfano.
TBC haijawai kuwa na clear picture ukiingalia sana lazima utapata shida ya macho sababu ya mwanga hafifu ya video zaoTBC wanaonyesha game utafikiri uwanjani Kuna mvua kubwa inanyesha yaani full ukungu.
Hapa tupo sawa acha tugawane njia sasa mida hiiMnasemajeeeeee?
Super Eagles kwenye fainali. Uonevu haulipi, tulionewa na VAR ila tumesonga.
Anapaishwa na folk lift shwaaaa mwamba uyu apaUnakuta mechi zinachezwa miji tofauti lakini yule bwana unamkuta huku na kule yupo...
haya Nenda fainali kama ni rahisi ivoSisi DRC tunahesabu hili ni goal. [emoji2][emoji2]
Nigeria wanaboa sana kuwaangaliaGame iliyopita wangekutana fainali ya mwisho kumpata bigwa ,ingenoga sana.hawa atakayekutana na Nigeria game haitanoga
TBC haijawai kuwa na clear picture ukiingalia sana lazima utapata shida ya macho sababu ya mwanga hafifu ya video zao
Style ya uchezaji ya Mayele inahitaji timu inayompa nafasi ya kuongoza mashambulizi kama alivyokuwa pale Deportivo de Utopolo kitu ambacho hawawezi kumpa katika timu ya taifa.Hivi ni kwanini kocha wa congo haoni kuna umuhimu wa mayele kucheza