Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Na nilijua litawapata wacongoman kwa ule ujinga kwa kukosa magoli ya wazi🤣😂😂Leo umetupa gundu my
Mechi ya kesho naiogopa sana, hebu ngoja niendelee kutafakari.😂😂😂
Nimewatia gundu
Nilisema mimi nikichagua timu lazima ifungwe😂😂😂
Kiukweli nimekuwa mzalendo kwa Africa mashariki japo mahaba yangu yalikuwa kwa wasouth,, namzimikia Williams.
Mechi ya leo sijaicheck kwa presha kabisa.
Kesho sina timu
Wote siwapendi
Matapeli Nigeria waliwatoa wangoni wangu lolote liwapate
Janjajanja Ivory Coast mbio za sakafuni huishia ukingoni wachawi hawa wamezindika viwanja vyao.
Nigeria wakishinda hatukunywa maji wala kuhema huku.Mechi ya kesho naiogopa sana, hebu ngoja niendelee kutafakari.
Japo natamani Nigeria washinde ila nafasi ni 50,50.
Kila mmoja ana eneo lake la ubora.
Vip anatufaa Liverpool??Na nilijua litawapata wacongoman kwa ule ujinga kwa kukosa magoli ya wazi
Williams ni kipa aiseee nyie🔥
Handsome mwenye uwezo wake wa kudaka.
Kesho igwee anabeba ndooMechi ya kesho naiogopa sana, hebu ngoja niendelee kutafakari.
Japo natamani Nigeria washinde ila nafasi ni 50,50.
Kila mmoja ana eneo lake la ubora.
Hata wakishindwa wote ni sawaMechi ya kesho naiogopa sana, hebu ngoja niendelee kutafakari.
Japo natamani Nigeria washinde ila nafasi ni 50,50.
Kila mmoja ana eneo lake la ubora.
Bandeko mibali mpe bandeko basi mingi bazwaki ngai kati na mabota na bango, nazalaki komioka mpenza malamu kofanda elongo na bango.Sie wacongo acha tu turudi Kinshasa kwa kweli
Kwa jinsi li Allison lilivyokua pazia bovu lililotoboka mechi ya Aseno ileVip anatufaa Liverpool??
Rudi nyumbani, toka huko SA 😃😃Nigeria wakishinda hatukunywa maji wala kuhema huku.
Mimi ningeishabikia Ivory Coast, yule dogo Haller ametisha kweli ila sasa waliniumiza kwa Senegal & Mali.Hata wakishindwa wote ni sawa
Yaani timu ninazozichukia ndio zinacheza fainali
Roho inaniuma,south ndio alitakiwa awe fainali,Nigeria ni matapeli
Kipa wao aliwatisha wapiga penati wangoni wetu,,achukuliwe sheria.
Hiyo mijanjajanja Ivory Coast iliyochanja mbuga vichakani.
Eti Mabingwa Senegal wapo nyumbani, Ivory Coast wanadunda tu!
Kweli uchawi upo 🙌🏿
Still Allison ni the best lile kosa vvd naye alichangia sanaKwa jinsi li Allison lilivyokua pazia bovu lililotoboka mechi ya Aseno ile
Mara mia angedaka huyu
Hata kipa wa Majimaji FC hawezi fanya ule upuuzi wa Allison.
Sema majogoo tuna golikipa namba 2 makini sana yule dogo.
Wenyeji wa mashindanoKwahIyo Tanzania fainali tupo upande gani?
Nawalaumu mabeki goli la kwanza tu.Still Allison ni the best lile kosa vvd naye alichangia sana
Ivory coast wameniumiza sana Mimi kama msenegal mdogo ake Sadio Mane.Mimi ningeishabikia Ivory Coast, yule dogo Haller ametisha kweli ila sasa waliniumiza kwa Senegal & Mali.
Nigeria sina shida nao, namkubali Victor sana.
Tumpongeze na mfungaji hasa lile la 3 lilikuwa goli la akiliNawalaumu mabeki goli la kwanza tu.
Mawili yaliyobaki wa kulaumiwa ni Allison tu 100/%,, jamaa alinikereketa sana.. Mimi siyo wa kulala kinyonge vile kisa Aseno.
Hawajaenda dkk 30, sijui sababu ni nini, natamani kufahamu
Yaani mtu anaacha goli, anatoka kujichanganya na akina Jota sijui alikuwa anatafuta nini katikati ya uwanja.Tumpongeze na mfungaji hasa lile la 3 lilikuwa goli la akili
Team yetu sikuile moral ilikuwa chini sana kwa kweli
Tutafute namba 6 mzuri
Thingo aachwe
Nunez ajitahidi kama leo.
Vvd naye anachoka atafutiwe mwenzie kipa wako yule bado sana kwa Allison labda tuletewe kipa mwengine
Kumbe!kanuni tuuh za mashindano
extra time ni kwenye hatua za mtoano si kwenye kutafuta mshindi wa tatu
over.