Malaika wa Misukosuko
JF-Expert Member
- Jul 16, 2021
- 2,470
- 7,376
Nigeria kama ArsenalNigeria [emoji1184] miyeyusho wanacheza Final kitoto sana kazi wanayo sijui kama watatoboa
mbinu ya kupunguza tample ya mchezoIvory Coast akiguswa tu analalama chini mpaka wanaboa. Inanikumbusha Barca ya akina Xavi, Iniesta, na Pedro..
AnastahiliGolikipa wa South Africa ndiye kipa bora wa mashindano kwa kigezo cha Clean Sheet
Wamekamatwa. Hata na South Africa [emoji1221] walipoteana sana ni bahati tu ya MatutaNigeria Wamebweteka Sana Hawajitumi Zaidi Osimhen
Hata bila ya kutazama takwimu, south Africa goalkeeper kafanya vzr Afcon!!Golikipa wa South Africa ndiye kipa bora wa mashindano kwa kigezo cha Clean Sheet
Kbs kama vp Twende 30 tulale usiku mnene.Yeees! Finale imeanza rasmi
Wamekamatwa. Hata na South Africa [emoji1221] walipoteana sana ni bahati tu ya Matuta
kesho Nenda kangofoeee Transfomer mambo yasiwe mengi uko Singida watu wansusha madude tuTanesco wamerudisha umeme wakati wa halftime baada ya dakika kama 20 wamekata tena. Nasikitika sijaangalia hata kidogo