Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila mm ntmn waende dk 120 huko wafike kwny penat 😂Apate tuu Tulale
Penye nia kuna njiaKwa jins ivory coast wanavopush, mda wowote wanaweza pata goli. Nigeria wamerelax yn wamebanwa kweli.
Tanzania hakunaga umoja kama huo. Utapoteza muda wako bure.Hawa dawa yao hakuna kununua LUKU raia wote wa TZ tunaweka mgomo. Ndaani ya wiki moja wanasolve tatizo nakuhakikishia ndani ya mwezi tunapata umeme wa uhakika
Wampe pumziko hata kama ni tegemeo78'==
Victor Osimhen (Nigeria) anahitaji matibabu, hivyo mwamuzi anasimamisha mchezo na kutoa ishara kwa physio kuja uwanjani.
Chumayaani hizi sub zinapofanyika mi huwa napata matumaini. sijui kwa nini
ChumaaaaLeo tupo pamoja Ndoo inabaki ivory coast
Kama ureno kipindi kileBest Loser wanafanya maajab