Franklin1902
JF-Expert Member
- Aug 1, 2018
- 2,241
- 4,876
Mkuu ulichungulia kwa mtaalam gani[emoji23]Kwa jinsi Nigeria [emoji1184] wanavyocheza hatuendi 120 hapa. Watapigwa cha pili dakika 6 tu baada ya cooling brake.
Ivory Coast wanabahati sana msimu huu hasa pale walipoingia kwa bahati hiyo