Komba the Great
JF-Expert Member
- Apr 25, 2016
- 340
- 654
Sisi wangoni kama wangoni tunayo furaha Alqaida kukandwa
😀 😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sisi wangoni kama wangoni tunayo furaha Alqaida kukandwa
Ngomaaa imeisha hiyo Sebastian Haller kacheza mechi Nne kaenda kambani mara mbili Tena kwenye Mechi Muhimu tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
🤣🤣🤣Sasa na Sisi 2027 Itakua Zamu yetu Kubakisha Ndoo Nyumbani. Si ndio Ndugu zangu?
Simon Adingra, Two AssistWho is man of the match probably??
Raha sanaHongera sana kwa wenyeji kwa kutwaa ubingwa kwa njia ya namna yake
Somo nililojifunza ni kuwa, katika maisha usikate tamaa pambana mpaka dakika ya mwisho!!
Angalia MovieSijapenda mpira kuisha mapema hivi
Ilitakiwa iishe saa8 leo
Ukifanya ujinga wacha uadhibiwe tu...
Hovyo Nigerians..
True that!!
Nigeria walistahili kufungwa, hawakuwa na mipango yoyote, hawakuwa hatari hata pale walipokuwa na mpira. Ivorian walikuwa bora zaidi yao.
Nilikuambia.Sijapenda mpira kuisha mapema hivi
Ilitakiwa iishe saa8 leo