United ya Ferguson
JF-Expert Member
- Oct 29, 2021
- 3,132
- 6,353
Inaonekana maana 2-0
Bahat yao offside
Hawa Angola wakae chonjo huu mpr wa Algeria ni wa hatr hlf huyo forwar wao
Baghdad Bounedjah atawatoa roho falaa anaoneka kama amepania kupata kiatu vile ananyumbulika sio kawaida.
Ndio maana brighton palimshinda mpira wa ulaya sio wa kukimbiakimbia kama mbuzi wakufugwaHuyu Tau huwa hana umakini golini hata akiwa Ahly, uzuri wake ni kukokota mipira tu kama akina Kibu.
Kazingua sana kwenye ile penatiHuyu Tau huwa hana umakini golini hata akiwa Ahly, uzuri wake ni kukokota mipira tu kama akina Kibu.
wew huoni diarra kaanza kweny timu ya taifa ya mali maanake samani ya ligi imepanda sanaKwanini?
[emoji419][emoji817]Ndio maana brighton palimshinda mpira wa ulaya sio wa kukimbiakimbia kama mbuzi wakufugwa
asa silisema kabla haijapigwaUnaangalia kweli mpira, ameutoa vipi?
Ha ha ha sawa mkuuasa silisema kabla haijapigwa
Anamapepe sana anakimbia kimbia kama mwehu tu mda mwngne.Percy tau hana akili
Ligi imepanda kwakua Diarra kaanza team ya taifa?wew huoni diarra kaanza kweny timu ya taifa ya mali maanake samani ya ligi imepanda sana
Hushangai Makocha wa Senegal na Cameroon yaani Aliu Cisse na Rigobert Song mtawalia wote wana rasta?Nimemuona Tshabalala mwenyewe jukwaani, jamaa bado yuko na rasta zake.
champions leauge pia kwon tuna timu mbili kwenye group stage last season tulitoa mwanafainali wa kombe la shirikishoLigi imepanda kwakua Diarra kaanza team ya taifa?
Maamuzi Simple imebidi nimuwaze Kagere [emoji23][emoji23]Anamapepe sana anakimbia kimbia kama mwehu tu mda mwngne.
Anaweza tu fanya dribbling vzr lkn utulivu golin mda mwngne anaukosa kbs.
Kaenda kupiga penalty kachagua very difficult skill ya kutaka kupeleka mpr akafungie juu anapotagia ndege.. Baada afanye maamuz simple tu.. Mwshoe mpr ukapaa wote.
[emoji23][emoji23][emoji23] Kwmb yale ndo yalikua simple kbs.Maamuzi Simple imebidi nimuwaze Kagere [emoji23][emoji23]
afu usijasaurishe hiyo ni mali umo Ndani kuna watu wanacheza spurs na bundesiliga sio kina kibwana shomari aoLigi imepanda kwakua Diarra kaanza team ya taifa?