uran
JF-Expert Member
- Nov 11, 2013
- 10,392
- 15,948
Niko naoWameshawekwa kimoko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Niko naoWameshawekwa kimoko
WataongezwaNiko nao
Hakuna shida, ndio ballWataongezwa
mfumo wao wa Ulinzi haujakaa sawa bado.Hawa wasumbiji wanagusa hawajakaa kizembe
Santo sanaHuna baya, enjoy!😂😂
Hivi Hersi hayuko uwanjani kusaka vipaji kama kawaida yake?Santo sana
Naona leo Mozambique watachezea zakufa mtu mpira umeelemea kwao
Daa mie mtaaani kwangu wamenizima umeme Hawa tanesko wananikosesha Raha yaani bi tozo nchi imemshinda hiiHawa wasumbiji wanagusa hawajakaa kizembe
😁🤣🤣WanasakwaSanto sana
Naona leo Mozambique watachezea zakufa mtu mpira umeelemea kwao
Kaka Hawa bei zao ni balaa simba n Yanga hawana hela za kubeba Hawa kwanza wanacheza ulaya hawaHivi Hersi hayuko uwanjani kusaka vipaji kama kawaida yake?
Safi sanaMisri wamekoswa hapa
Atakua yuko makini sana kuangalia madogo wanaolisakata boli kisawasawa😁!Hivi Hersi hayuko uwanjani kusaka vipaji kama kawaida yake?
😁🤣🤣🤣Atakua yuko makini sana kuangalia madogo wanaolisakata boli kisawasawa😁!
Ni kweli, ukiangalia timu zingine zinavyocheza. Sisi wazigua tumeenda kuruka ruka na kutalii huko AFCON.Hii game kali tofauti na ile ya Naija
Hama huo mtaaDaa mie mtaaani kwangu wamenizima umeme Hawa tanesko wananikosesha Raha yaani bi tozo nchi imemshinda hii