Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
- Thread starter
- #421
Timu zenye majina makubwa nyingi zinacheza hovyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila kweli janja janja nyingi hapa nyumbani ila haka kauwanja nimekaelewa sana roho imeniuma kapo ndani ya uwezo wa Simba na Yanga bila shaka?!.Hizo timu hazishindwi ila kuna mkono wa wakubwa katika kukwamisha mipanho ya uwanja
Wenzetu nchi moja kwenda nyingine kwa treni kawaida tuMiundo mbinu ya usafiri ni migumu sana
Kidogo Ivory coast janaTimu zenye majina makubwa nyingi zinacheza hovyo
Huyo nae ni kwakuwa mwenyeji ila sioni akivuka roboKidogo Ivory coast jana
Nafasi ya Pili ya Wazi tunapoteza wamakondeMisri wamekoswa hapa
Sasa Nigeria si ndio vichekeshoHuyo nae ni kwakuwa mwenyeji ila sioni akivuka robo
Nimeshangaa sana kuona huyu Reinildo ni raia wa mozambique akili yangu yote nilikua najua ni mbrazilHuyo nae ni kwakuwa mwenyeji ila sioni akivuka robo
Siwezi kuhama kigamboni MkuuHama huo mtaa
kuna jamaa anacheza Altetico madrid anaitwa Reinldo mim nimeshangaa kinoma kipindi chote nilikua najua ni MbrazilHawa wasumbiji wanacheza ligi za hapa hapa Afrika au nje ?
Nje hawaHawa wasumbiji wanacheza ligi za hapa hapa Afrika au nje ?
Kwa nini ?Nimeshangaa sana kuona huyu Reinildo ni raia wa mozambique akili yangu yote nilikua najua ni mbrazil
Hawa si wana majina ya kirenokuna jamaa anacheza Altetico madrid anaitwa Reinldo mim nimeshangaa kinoma kipindi chote nilikua najua ni Mbrazil
Mtaa hani hauna umeme?Siwezi kuhama kigamboni Mkuu
Mkuu nimesema wanaweza, kosa kosa zilikuwa nyingi sana leo. Pia kwenye mpira kuna bahati mkuu.
Wengi wanacheza ud songo hao na timu yao moja inaitwa maputo.Hawa wasumbiji wanacheza ligi za hapa hapa Afrika au nje ?