2024 Africa Cup Of Nations (AFCON) | Special Thread. Mechi ya fainali, FT: Nigeria 1 - 2 Ivory Coast. Ivory coast abeba ubingwa. 11.02. 2024

2024 Africa Cup Of Nations (AFCON) | Special Thread. Mechi ya fainali, FT: Nigeria 1 - 2 Ivory Coast. Ivory coast abeba ubingwa. 11.02. 2024

Mpira wa Africa umepiga hatua kubwa sana kwasasa, kila mechi mpira unapigwa haswa hakuna team ambazo ni mchekea huku labda Tanzania yetu tu.

Ukifanya analysis kwa kuangalia majina ni lazima uachwe mdomo wazi.
 
So far naona modern football toka mashindano haya yaanze kwa mechi nilizo tazama ukiondoa ya Nigeria
 
Egypt ni timu nzuri kiufundi walichofanya wamakonde ni km surprise

Egypt ya kipindi cha nyuma ilikuwa inafundishwa na makocha wa ndani ( waarabu) na lile soka lao pasi za haraka haraka na kasi ilikuwa inawasaidia kuchukua ubingwa wa africa back to back ila kombe la dunia wakawa hawafuzu

Wakabadilisha mfumo wakawa wanaajiri makocha wakizungu ule mpira wa kasi ukajifia automatic wakashif kwenye kucheza mpira wa ulaya
Pale kwa Egypt hakuna mpira wa ulaya.
 
Now Barcelona sio tena timu ya kutolea mfano kwa mpira mkubwa.

Vini kawachakaza vibaya mnooo na Rodryigo kaja kashindilia msumari wa moto
 
Back
Top Bottom