Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 67,252
- 168,563
Duh kumbe nanyie huwa mnakomenti kawaida 😳!!!Nchi kubwa Afrika zilizotamba kwa miaka mingi naona zimeishiwa, hata wachezaji si hodari
Leo mafundi mitambo wanakwama sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh kumbe nanyie huwa mnakomenti kawaida 😳!!!Nchi kubwa Afrika zilizotamba kwa miaka mingi naona zimeishiwa, hata wachezaji si hodari
Kuna mmoja Huwa ana comment kwenye Uzi wa picha za mademu wakaliDuh kumbe nanyie huwa mnakomenti kawaida 😳!!!
Leo mafundi mitambo wanakwama sana
Sio TBC tu hata huku 222 Supersport Football Plus HD nako wamekatishaTBC ni wakucharaza viboko yaani matangazo wamekatisha wanarudi studio kuchambua mpira ambao bado unaendelea kisa mitambo yao imezingua halafu cha ajabu hata hawaombi radhi
Sio kosa lao, hata huku DStv mpk AzamTv hali ni hiyo hiyoTBC ni wakucharaza viboko yaani matangazo wamekatisha wanarudi studio kuchambua mpira ambao bado unaendelea kisa mitambo yao imezingua halafu cha ajabu hata hawaombi radhi
Noumaaa nanusuu!Kuna mmoja Huwa ana comment kwenye Uzi wa picha za mademu wakali
TBC hapo unawaonea tu .TBC ni wakucharaza viboko yaani matangazo wamekatisha wanarudi studio kuchambua mpira ambao bado unaendelea kisa mitambo yao imezingua halafu cha ajabu hata hawaombi radhi
Mie mwenyewe nimeshangaaa aiseeTBC hapo unawaonea tu .
Hata hao DStv pia hawana camera uwanjani wanapokea tu matangazo, hivo hivo kwa Azam
Inshort channel zote zimekata kwasababu feed ni moja
Inasikitisha sanaAfrica ni Africa tu, matangazo yamekatika
Toka dakika ya ngapi yamekata matangazo ? Maana nilichelewa game leo nafika hakuna kituAfrica ni Africa tu, matangazo yamekatika
Yanii watupe hata updates tuNgapi ngapi huko