ngalelefijo
JF-Expert Member
- Jun 26, 2012
- 3,966
- 2,596
Umefunga mjadala kibabe sana [emoji120][emoji120]Mkuu, ata intonation ya boss wako inaonesha anataka upinzani uwepo mpaka bungeni. Anatamani awe na akina Lissu, Mbowe, Msigwa, Heche na wengineo bungeni. Anataka kupata sauti ya pili, akosolewe arekebishe nchi isonge. Wewe una mawazo ya kale kama yule fedhuli aliyetangulia mbele ya haki
Kuna haha JF wakaweka na kitufe Cha dislike kwa ajili ya mataputapu kama haya.WanaJF,
Heri ya Mwaka Mpya 2023!
Kwa wapenzi wa siasa nchini niambieni Jimbo gani liko hatarini kupotea mwaka 2025. Kwa mtizamo wangu naona wabunge wote waliochaguliwa majimboni 2020 wako vizuri na sioni hata jimbo moja litakalipotea.
CDM chagueni kazi zingine za kufanya ila mkidhani 2025 mtapata jimbo ni kuota ndoto za mchana. NGUMU KUMEZA
Msakila M Kabende
Kakonko.
Kwenye majiji Chadema wanakubalika sana kwa sababu watu wana uelewa mpana maana inaeleweka wazi kuwa CCM inachaguliwa na wajinga wajinga tuKwa nini majijini kuwepo upinzani mkali?
AKILI NDOGO huwaza hivyo kwa kuwa Wewe ndio UTAWAPIGIA KURA WAGOMBEA WOTE upo sahihiWanaJF,
Heri ya Mwaka Mpya 2023!
Kwa wapenzi wa siasa nchini niambieni Jimbo gani liko hatarini kupotea mwaka 2025. Kwa mtizamo wangu naona wabunge wote waliochaguliwa majimboni 2020 wako vizuri na sioni hata jimbo moja litakalipotea.
CDM chagueni kazi zingine za kufanya ila mkidhani 2025 mtapata jimbo ni kuota ndoto za mchana. NGUMU KUMEZA
Msakila M Kabende
Kakonko.
AKILI NDOGO huwaza hivyo kwa kuwa Wewe ndio UTAWAPIGIA KURA WAGOMBEA WOTE upo sahihi SIJUI UNATUMIA NINI KUFIKIRIWanaJF,
Heri ya Mwaka Mpya 2023!
Kwa wapenzi wa siasa nchini niambieni Jimbo gani liko hatarini kupotea mwaka 2025. Kwa mtizamo wangu naona wabunge wote waliochaguliwa majimboni 2020 wako vizuri na sioni hata jimbo moja litakalipotea.
CDM chagueni kazi zingine za kufanya ila mkidhani 2025 mtapata jimbo ni kuota ndoto za mchana. NGUMU KUMEZA
Msakila M Kabende
Kakonko.
AKILI NDOGO huwaza hivyo kwa kuwa Wewe ndio UTAWAPIGIA KURA WAGOMBEA WOTE upo sahihi SIJUI UNATUMIA NINI KUFIKIRIWanaJF,
Heri ya Mwaka Mpya 2023!
Kwa wapenzi wa siasa nchini niambieni Jimbo gani liko hatarini kupotea mwaka 2025. Kwa mtizamo wangu naona wabunge wote waliochaguliwa majimboni 2020 wako vizuri na sioni hata jimbo moja litakalipotea.
CDM chagueni kazi zingine za kufanya ila mkidhani 2025 mtapata jimbo ni kuota ndoto za mchana. NGUMU KUMEZA
Msakila M Kabende
Kakonko.
Unadhani bila wabunge wa upinzani patatawalika?Mbn unapinga hisia zangu - Mkuu kila mmoja akiteuliwa nchi itakuwa na wateule wangapi - Mungu anatosha
SAWA SHEIKH YAHAYA MSAKILA kwa utabiri mbona hujaacha namba ya Simu kuna Teuzi za MAWAZIRIWanaJF,
Heri ya Mwaka Mpya 2023!
Kwa wapenzi wa siasa nchini niambieni Jimbo gani liko hatarini kupotea mwaka 2025. Kwa mtizamo wangu naona wabunge wote waliochaguliwa majimboni 2020 wako vizuri na sioni hata jimbo moja litakalipotea.
CDM chagueni kazi zingine za kufanya ila mkidhani 2025 mtapata jimbo ni kuota ndoto za mchana. NGUMU KUMEZA
Msakila M Kabende
Kakonko.
Sukuma gang bhana !Hakuna kucheka na upinzani - CCM lzm ibaki madarakani mpk 2045
No, hata uhusiano haupoSukuma gang bhana !
In fair election majimbo mengi yatapotea likiwemo jimbo la Shinyanga vijijini kwa Naibu wa Waziri wa TAMISEMI, Arusha Mjini, Karatu, Tunduma kwa Mhe. Silinde, Mlimba kwa kijana wa Magufuli, Ubungo n.k.WanaJF,
Heri ya Mwaka Mpya 2023!
Kwa wapenzi wa siasa nchini niambieni Jimbo gani liko hatarini kupotea mwaka 2025. Kwa mtizamo wangu naona wabunge wote waliochaguliwa majimboni 2020 wako vizuri na sioni hata jimbo moja litakalipotea.
CDM chagueni kazi zingine za kufanya ila mkidhani 2025 mtapata jimbo ni kuota ndoto za mchana. NGUMU KUMEZA
Msakila M Kabende
Kakonko.
Mkiambiwa ukweli why mnachukia? Sasa mtachaguliwa kwa agenda ipi mkononi?AKILI NDOGO huwaza hivyo kwa kuwa Wewe ndio UTAWAPIGIA KURA WAGOMBEA WOTE upo sahihi SIJUI UNATUMIA NINI KUFIKIRIView attachment 2476849
Hiyo sura kama upo CHOONI vile,daàhJamani wananchi huku hawataki kabisa opposition - kila mmoja yuko kwa CCM
Sawa, tubaki kwenye hoja sura huumbwa na MUNGU. Hope wewe kwa sura nzuri umeshaolewa na kutolewa mahaliHiyo sura kama upo CHOONI vile,daàh
Ipoteze au Isipoteze wewe inakusaidia nini?Bunge lote hili limeisha jana ni CCM,vipi Bei ya Sukari,Mchele na Mahitaji mengine ya kawaida ya kibinadamu imeshuka??tumia hilo bichwa lako kuanzisha nyuzi za maana na si kutumia Makalio yako kuanzisha UHARO JFWanaJF,
Heri ya Mwaka Mpya 2023!
Kwa wapenzi wa siasa nchini niambieni Jimbo gani liko hatarini kupotea mwaka 2025. Kwa mtizamo wangu naona wabunge wote waliochaguliwa majimboni 2020 wako vizuri na sioni hata jimbo moja litakalipotea.
CDM chagueni kazi zingine za kufanya ila mkidhani 2025 mtapata jimbo ni kuota ndoto za mchana. NGUMU KUMEZA
Msakila M Kabende
Kakonko.