utukufu mwanjisi
JF-Expert Member
- Aug 19, 2017
- 2,849
- 2,508
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yes, mama anaunganisha team lowasa na team JPM kuelekea 2025. Hao ndio watakuwa team yake.Nchimbi ni Team Lowassa
Katibu mwenezi yupo, ngoja wakiwashe nchi nzima utaona.Nchimbi bado hana ushawishi wowote kanda ya ziwa kukibeba chama chake - Tatizo bado lipo palepaleee.
Usisahau: Tuna Imani na LowasaKwa hiyo Leo tuseme team
Msoga inaendelea kushinda ?
kwani Nchimbi wa msoga,,,tutoeni tongotongo tusiojuaKwa hiyo Leo tuseme team
Msoga inaendelea kushinda ?
Wacha kila team ishinde maana misuguano yao inaweza ikaleta farajaUsisahau: Tuna Imani na Lowasa
LOWASAkwani Nchimbi wa msoga,,,tutoeni tongotongo tusiojua
loh kwahio msoga zimebaki soga tuLOWASA
Haya sasa, taa imewaka. Hayawi
Ina maana msoga vs kizimkazi picha haziendi ?!Yes, mama anaunganisha team lowasa na team JPM kuelekea 2025. Hao ndio watakuwa team yake.
