Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwezi kuuona ila upo na wengine wanauona....Kwa ushawishi upi alionao
Utashinda wewe Cathelin sawa tumekuelewaHuu Uzi ningependa usomwe kwa umakini, na tuweke siasa za mihemuko pembeni.
Ni dhahiri CCM watamsimamisha SSH Kama Mgombea wao wa uraisi,lakini ukweli lazima usemwe sioni Samia akitoboa kwenye sanduku la kura, kwenye uchaguzi ulio huru na haki kwa sababu zifatazo.
- Samia hana strongholds hata moja ambayo ina wapiga kura wengi, asikudanganye mtu, hata Marekani Kuna strongholds za Republican na Democrats, mgombea yeyote wa Republican anakuwa ashajihakikishia ushindi wa, Texas, Indiana, South Carolina, na Ohio. na Mgombea yeyote wa Democrats anakuwa ashajihakikishia ushindi kwenye majimbo ya California, Illinois, Deleware, Newyork, DC, n.k
Samia hana strong holds popote hapa Tanzania, Kanda ya ziwa hawezi toboa, Kasikazini hawezi toboa, Dar hatoboi, mikoa ya Iringa na Mbeya hatoboi, mikoa ya kusini haielewekagi.
- Maisha magumu Sana aisee, nipo kwenye ground, maisha magumu hatari,watu ata hawajui kuwa Covid-19 na Vita ya urusi imechangia vitu kupanda Bei, wenyewe wanachojua ni kuwa Samia ndo amepandisha vitu, na Samia ata hakemei, anapiga kimya na mwishowe anakuja sema vitu vitazidi kupanda bei. Mafuta ya kula Lita 7000, sabuni mche ni 3500, ngano Ni 2000,n.k
- Ajira hakuna, mmesikia wenyewe juzi kuhusu magereza, afya anaajiri watu elfu mbili, Elimu ambayo ilikuwa na ajira nyingi anaajiri walimu elfu, ajira hamna kabisa, mbaya zaidi wananchi wamekaririshwa kuwa ufisadi umerudi chini ya Samia,
Ili Samia ashinda uchaguzi 2025 hana budi kuteka, kutesa, nyanganya fomu za wapinzani, wawekee mapingamizi wapinzani, kuingiza kura vituoni n.k hapo atashinda.
Huo ndo ukweli whatever you like or not.
Unafananisha wazungu na hawa walafi wa madaraka walioko madarakani sasahiviMabadiliko toka ukoloni kuja uhuru wa bendera yalimwaga damu?
Wengi humu ndani siku ya uchaguzi mara nyingi ni Jumapili, huwa wanaamka saa tano na nusu na cha kwanza kufanya ni kusikilizia idadi ya waliojitokeza katika vituo vya kupiga kura. Wanasumbuka kwa maandishi yao lakini sio kwa matendo yao.Wapiga kura wapi, au sisi,sio wapiga kura
Wewe ungekuwa na akili ungekuwa unalialia humu jukwaani ukitumia majina bandia?. Akili za kuduwanzi ndio hizi.Sasa mwambie akubali Katiba Mpya na Tume Huru we unadhani Samia ni mjinga kama wewe.
Mimi nimekuelewa vizuri sana, sasa sijui kama mleta mada naye atakuwa amekuelewa uliyosema kwa maneno machache hayo hapo juu.samia akashinda kwa sababu ya ccm
Kaka shuka kwenye mtumbwi usome vizuri😁😁😁😁Kwa hiyo weye ni muumini wa chafuzi sio, kwani 2019/2020,ulikuwa msimamizi chafuzi kwenye vituo vipi?🤔
Itabidi nisome nikuwa naogelea ,huenda nikakuelewa🤔Kaka shuka kwenye mtumbwi usome vizuri😁😁😁😁
Hiyo paragraph ya mwisho ndio ukweli wenyewe, wabunge wa upinzani watakuwa wengi ila upinzani kuchukua urais HAPANADon't dream mchana.
CCM bado kuondoka madarakani.
Jina lao ni lazima lipite.
Tena ameshajiongeza kaweka wa goli la mkono,
Wabunge upinzani watakuwa wengi, ila huko juu ni SIRI KUU
Ila wa mwaka 2000 ndiyo ulikua huru na haki?Huu Uzi ningependa usomwe kwa umakini, na tuweke siasa za mihemuko pembeni.
Ni dhahiri CCM watamsimamisha SSH Kama Mgombea wao wa uraisi,lakini ukweli lazima usemwe sioni Samia akitoboa kwenye sanduku la kura, kwenye uchaguzi ulio huru na haki kwa sababu zifatazo.
- Samia hana strongholds hata moja ambayo ina wapiga kura wengi, asikudanganye mtu, hata Marekani Kuna strongholds za Republican na Democrats, mgombea yeyote wa Republican anakuwa ashajihakikishia ushindi wa, Texas, Indiana, South Carolina, na Ohio. na Mgombea yeyote wa Democrats anakuwa ashajihakikishia ushindi kwenye majimbo ya California, Illinois, Deleware, Newyork, DC, n.k
Samia hana strong holds popote hapa Tanzania, Kanda ya ziwa hawezi toboa, Kasikazini hawezi toboa, Dar hatoboi, mikoa ya Iringa na Mbeya hatoboi, mikoa ya kusini haielewekagi.
- Maisha magumu Sana aisee, nipo kwenye ground, maisha magumu hatari,watu ata hawajui kuwa Covid-19 na Vita ya urusi imechangia vitu kupanda Bei, wenyewe wanachojua ni kuwa Samia ndo amepandisha vitu, na Samia ata hakemei, anapiga kimya na mwishowe anakuja sema vitu vitazidi kupanda bei. Mafuta ya kula Lita 7000, sabuni mche ni 3500, ngano Ni 2000,n.k
- Ajira hakuna, mmesikia wenyewe juzi kuhusu magereza, afya anaajiri watu elfu mbili, Elimu ambayo ilikuwa na ajira nyingi anaajiri walimu elfu, ajira hamna kabisa, mbaya zaidi wananchi wamekaririshwa kuwa ufisadi umerudi chini ya Samia,
Ili Samia ashinda uchaguzi 2025 hana budi kuteka, kutesa, nyanganya fomu za wapinzani, wawekee mapingamizi wapinzani, kuingiza kura vituoni n.k hapo atashinda.
Huo ndo ukweli whatever you like or not.
Mama anaumizwa na tabiri zenu hata kama ni za kubahatishaHiyo paragraph ya mwisho ndio ukweli wenyewe, wabunge wa upinzani watakuwa wengi ila upinzani kuchukua urais HAPANA
Tatizo ni kwamba Tanzania haijawahi kuwa na uchaguzi huru na wa hakiHuu Uzi ningependa usomwe kwa umakini, na tuweke siasa za mihemuko pembeni.
Ni dhahiri CCM watamsimamisha SSH Kama Mgombea wao wa uraisi,lakini ukweli lazima usemwe sioni Samia akitoboa kwenye sanduku la kura, kwenye uchaguzi ulio huru na haki kwa sababu zifatazo.
- Samia hana strongholds hata moja ambayo ina wapiga kura wengi, asikudanganye mtu, hata Marekani Kuna strongholds za Republican na Democrats, mgombea yeyote wa Republican anakuwa ashajihakikishia ushindi wa, Texas, Indiana, South Carolina, na Ohio. na Mgombea yeyote wa Democrats anakuwa ashajihakikishia ushindi kwenye majimbo ya California, Illinois, Deleware, Newyork, DC, n.k
Samia hana strong holds popote hapa Tanzania, Kanda ya ziwa hawezi toboa, Kasikazini hawezi toboa, Dar hatoboi, mikoa ya Iringa na Mbeya hatoboi, mikoa ya kusini haielewekagi.
- Maisha magumu Sana aisee, nipo kwenye ground, maisha magumu hatari,watu ata hawajui kuwa Covid-19 na Vita ya urusi imechangia vitu kupanda Bei, wenyewe wanachojua ni kuwa Samia ndo amepandisha vitu, na Samia ata hakemei, anapiga kimya na mwishowe anakuja sema vitu vitazidi kupanda bei. Mafuta ya kula Lita 7000, sabuni mche ni 3500, ngano Ni 2000,n.k
- Ajira hakuna, mmesikia wenyewe juzi kuhusu magereza, afya anaajiri watu elfu mbili, Elimu ambayo ilikuwa na ajira nyingi anaajiri walimu elfu, ajira hamna kabisa, mbaya zaidi wananchi wamekaririshwa kuwa ufisadi umerudi chini ya Samia,
Ili Samia ashinda uchaguzi 2025 hana budi kuteka, kutesa, nyanganya fomu za wapinzani, wawekee mapingamizi wapinzani, kuingiza kura vituoni n.k hapo atashinda.
Huo ndo ukweli whatever you like or not.
Enzi ya Nyerere uchaguzi ulikuwa wa haki. Kila akiona anataka kugombea, alikuwa analazimisha agombee na nguvu za giza. Upande mmoja Nyerere na upande mwingine anapakaza kivuli au giza. Unachagua giza au Nyerere.Tatizo ni kwamba Tanzania haijawahi kuwa na uchaguzi huru na wa haki
Abadili Nini watu hawataki kuambiwa ukweli,, niambie strongholds ya Samia ambayo anaweza