Mama asiyejali familia anau,a mashamba, anauza bandari, rushwa imetamalaki, hastahili heshima ya umama period.Katika historia ya nchi hii, sijawahi kuona mtu anayekebehi, kudharau, na kutoheshimu hadhi ya mama kama Tundu Antipas Mughwai Lissu.
Ukimdharau mama mmoja, umedharau mama wote nchini na duniani. Shime, uchaguzi wa 2025 uwe wa kuwaheshimiaha mama zetu dhidi ya ubaradhuli huo
Lissu Ana mdomo mchafu kiasiKatika historia ya nchi hii, sijawahi kuona mtu anayekebehi, kudharau, na kutoheshimu hadhi ya mama kama Tundu Antipas Mughwai Lissu.
Ukimdharau mama mmoja, umedharau mama wote nchini na duniani. Shime, uchaguzi wa 2025 uwe wa kuwaheshimiaha mama zetu dhidi ya ubaradhuli huo
Jaribu kuficha upumbavu wako sio lazima kila mmoja ajue wewe ni mpumbavu 🚮🚮Jitahidi uwe na akili basi
Kajiunge na hadija kopa muimbe taarabu tahira kweli weweUna hakika kichwani una akili/ubongo? Pengine ubongo umekufa, na medically you are dead
Wewe una akili chafu kabisaLissu Ana mdomo mchafu kiasi
TumekutanaWewe una akili chafu kabisa
Umelaaniwa wewe, anavyoimbia watanzania, utekaji na mauaji ndiyo tumweshimu?Katika historia ya nchi hii, sijawahi kuona mtu anayekebehi, kudharau, na kutoheshimu hadhi ya mama kama Tundu Antipas Mughwai Lissu.
Ukimdharau mama mmoja, umedharau mama wote nchini na duniani. Shime, uchaguzi wa 2025 uwe wa kuwaheshimiaha mama zetu dhidi ya ubaradhuli huo
UWT hao mkuu usihangaikeWewe una akili chafu kabisa
Uchawa umewazidi, Lissu huwa harembi maneno Ngoswe anamuita Ngoswe hata kama Ngoswe huyo kavaa Gauni.Katika historia ya nchi hii, sijawahi kuona mtu anayekebehi, kudharau, na kutoheshimu hadhi ya mama kama Tundu Antipas Mughwai Lissu.
Waliomuua mzee Kibao wamekatwa? wizi wa mali za umma na ufisadi imekuwa kama fashioni, matumizi mabaya na makubwa ya mali za umma, hakuna ubunifu wowote zaidi ya wiziNani? Hujasikia watu wamekamatwa?
Ni nyie CCMYa kibao muulize Mnyika, anawajua
UWT mnahusikaHata ya ngome ya vijana ACT mtu wa kwanza kuyajua ni Mnyika