Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Mama asiyejali familia anau,a mashamba, anauza bandari, rushwa imetamalaki, hastahili heshima ya umama period.Katika historia ya nchi hii, sijawahi kuona mtu anayekebehi, kudharau, na kutoheshimu hadhi ya mama kama Tundu Antipas Mughwai Lissu.
Ukimdharau mama mmoja, umedharau mama wote nchini na duniani. Shime, uchaguzi wa 2025 uwe wa kuwaheshimiaha mama zetu dhidi ya ubaradhuli huo