2pac alifanya harakati za kudai haki na kuelimisha jamii, Notorious Big aliedanganya maisha yake na kuimba uhuni pekee, anamsogelea kwa kipi?

2pac alifanya harakati za kudai haki na kuelimisha jamii, Notorious Big aliedanganya maisha yake na kuimba uhuni pekee, anamsogelea kwa kipi?

Biggie had the flavor
Pac had the message and touched many.
Case laid to rest
you damn right dawg! And lets agree to disagree kila mtu anatest yake. Flow za biggie na ile flavor, good music ndio wengine tumependa, ujumbe ni issue subjective.

So nadhani acha hao jamaa wapewe heshima zao, ni ujuha kuona mtu anamdisrespect mmoja kisa alikuwa anamuelewa mwingine narudia tena kwa mpenzi wa 90s hip hop hawezi kuthubutu kuwadisrespect hao jamaa no matter what.
 
View attachment 2762707View attachment 2762709

Huyu alikulia hood mitaa iliyojaa msoto, uhalifu na umasikini, vitu livyoimba kuhusu shida ni mambo yaliyokuwa sehem ya maisha yake kwa muda mrefu.

2pac aliweza kufanya kazi kibao kudai haki, kuelimisha jamii, kutoa postive motivation, n.k. pia alipenda sana kusoma vitabu,

Changes ilikuwa kazi ya kiharakati kutetea haki za mtu mweusi, kukemea ubaguzi na kuhamasisha umoja wa watu weusi.

Dear mama ilitoa fundisho kuwa mama ni mama tu hata akiwa na mapungufu yake (mama yake alikuwa teja)

Only God can judge me alitoa ujumbe maridhawa kwamba ni Mungu pekee wa kumhukumu kikamilifu,

Brenda got a baby ilikemea mimba za utotoni.

Keep ya head high ni bonge la postive inspiration kujua thamani yako.

Wonder why they call you bitch ilitoa darasa kwa dada zetu tabia za kujiepusha ili wasijishushe thamani.


hizo ni chache tu.........

View attachment 2762702
View attachment 2762708

Ukija kwa Notorious Big, kwanza kabisa anadanganya kwamba aliishi maisha magumu wakati kiuhalisia hakulelewa maisha ya kitajiri ila sio haba aliishi maisha walau ya kati, mama yake alikuwa na kazi ya ualimu, Big alisomeshwa shule private, aliishi mitaa yenye hadhi ya wastan hakukulia hood, n.k. hali yake ilimpa wepesi hata wa kujuana na watoto wa kishua kina pdiddy, mama yake alikuwa anachukia sana kamlea vizuri ila yeye anadanganya kakulia kwenye shida

Big nyimbo kibao anaimba kubrag (kujisifia), bata, kudanganya aliishi maisha magumu, kusifia kuuza madawa kama njia sahihi ya kuhaso, n.k.

Huwa wanasema kazi zake za juicy na sky is the limit zina ujumbe, huo ujumbe ni upi ?

Juicy kaweka wazi mafanikio aliyopata kwenye mziki yamempa mkwanja wa kufanya umalaya na kupiga pamba kali, sioni cha kuelimisha hapo zaidi ya kujitamba.

Sky is the limit humo kaendeleza uongo wake kwamba alikulia maisha ya kimasikini, kasifia kwamba kuuza madawa ya kulevya kuna mkwanja kiasi aliamua kuacha shule ili ajifunze kuyauza, n.k.
Hoja yako ni nini? Kwa sababu Pac na Biggie huwa wanafananishwa kwa uwezo wao kimuziki. Sio walikulia wapi na kulelewa vipi. Anyway, lets break down your points.

1. Tupac was hood, Biggie was not.
-Huu ni upotoshaji. Biggie aliishi Bedford-Stuyvesant, Brooklyn au kama wenyewe wanavyoita Bed Stuy, huko sio ushuani, ni uswahilini kama Harlem ambako Pac aliishi kabla hajahamia Bartimore. So he was as much hood as Pac. Mama yake kuwa mwalimu hakufanyi awe wa kishua. As a matter of fact Biggie alifanya vitu vingi zaidi vya kihuni kuliko Pac mfano kuuza madawa ya kulevya n.k

2. Aina ya nyimbo walizoimba
-Umetaja nyimbo chache za Pac ambazo zina "ujumbe" na kudai kwamba Biggie nyimbo zake za Sky Is The Limit na Juicy ni stori za uongo. Hoja kwamba nyimbo za Biggie zilikuwa za uongo na za Pac ni za ukweli ni suala la perspective. Rappers wengi huwa ni story tellers, wanasimulia kinachotokea kwenye mazingira yao. Sio lazima iwe personal. Tafuta nyimbo nyingine za Biggie kama Ten Crack Commandments na Missing You usikilize, Biggie alikuwa master story teller. Umesema kwamba Biggie alikuwa anaimba nyimbo nyingi za ku-bragg, which is true lakini hujasema kwamba Pac naye ana nyimbo nyingi tu za kujisifu and other stuff that rappers usually talk about. Mfano ni I Get Around na Toss It Up.

3. Kusoma
-Kuna mahali umesema kwamba Biggie alisoma mpaka high school, which is true, lakini Pac kasoma mpaka college (Bartimore School of Arts).

Narudia tena, wasanii hawa wawili maarufu huwa wanafananishwa kimuziki kwa sababu ndio kitu ambacho ni common kwao. Ukitoka nje ya muziki hawa ni watu wawili tofauti kabisa.
 
Huu ni upumbavu mwingine. Pac and biggie have been cited as as the greatest rappers of all time it means yupi ni bora kuliko mwenzake is arguably sasa kusema pac hawezi fananishwa na mwengine ni 'ujuha' mkubwa unless uwe hujui chochote kuhusu biggie.

Hawa ndio wasanii wawili pekee waliogawa mashabiki kwenye hip hop history ya USA, so no matter una mahaba kiasi gani kwa pac au westside but never disrespect biggie.
Skia bro.

Kuwafananisha ni MUST kwa kuwa kuna maslahi ya kibiashara kutokana na BIFU lao. Ili kupambiza mauzo na fedha lazima watokee watu wachache wafanye kampeni ya kuwalinganisha.

Ila kiuhalisia Tupac ni mtu mwingine kabisa... GOAT.

Kama unabisha hilo weka bangers za BIG mie najibu kwa BANGER la PAC. Fimbo kwa Fimbo.
 
Sijajua kwanini Jay-Z alitaka kununua hati miliki ya ngoma zote za 2PAC! Anyway ni mfanya biashara yule nadhani kuna kitu alikiona kwenye mziki wa PAC.

This is to show that PAC was ahead of BIGGIE!

Nipo hapa nasikiliza "ghetto gospel", namuenzi muhuni kidogo
sijui kwa nn watu wanamlinganishaga pac na vitu vya ajabu aisee, sijui na huwa sielewi kabisa, yaani bigie kuuza drugs ndo kipngele cha harakati zake zilinganishwe na pac? ths is not fair kabisa.
 
Skia bro.

Kuwafananisha ni MUST kwa kuwa kuna maslahi ya kibiashara kutokana na BIFU lao. Ili kupambiza mauzo na fedha lazima watokee watu wachache wafanye kampeni ya kuwalinganisha.

Ila kiuhalisia Tupac ni mtu mwingine kabisa... GOAT.

Kama unabisha hilo weka bangers za BIG mie najibu kwa BANGER la PAC. Fimbo kwa Fimbo.
I agree to disagree, PERIOD! Ila let's not disrespect these fellas.
 
Back
Top Bottom