2pac alifanya harakati za kudai haki na kuelimisha jamii, Notorious Big aliedanganya maisha yake na kuimba uhuni pekee, anamsogelea kwa kipi?

2pac alifanya harakati za kudai haki na kuelimisha jamii, Notorious Big aliedanganya maisha yake na kuimba uhuni pekee, anamsogelea kwa kipi?

Biggie hakuwa street boy, alidanganya kaishi maisha ya mtaani, pia alidanganya kwenye sky is the limit aliacha shule akiwa na miaka kumi aende kuuza madawa, big sio wa kumuamini kila kitu.

Big kuwa hustler nayo kadanganganya kwamba alikuwa anakula dagaa (sardines) wakati alikulia maisha poa tu,
Si kweli mkuu, labda uniambie documentary ya maisha yake ni fake...

Brookline boy raised by single parent.

They grew together with Sean comb.....
 
Kwani mtu kuwa raised na single parent ndio kuishi kimaskini ?

Kumbuka alikuwa anasomeshwa shule private huyo.
Mkuu nakuelewa, ila sio kwamba life was easy hata mpaka leo maisha ya middle class sio maisha ya maana sana....

Kumbuka mama yake mjamaica alikuwa nurse tu.. kwahiyo sio kwamba katoka kwenye life poa kiiiiiivooo.

That's why he work his a#$ for it.
 
Umemaliza kila kitu mkuu.

Nadhan mkuu sky soldier anatakiwa ajue pac na biggie ni watu wawili tofauti.

Wakati 2pac amelelewa na watu wa revolutions na political movement hata mziki wake ulibase huko unlikely notorious jamaa by nature ni street hustler, ambaye yupo tayari kuhustle kwa namna yoyote ili apate anachotaka hii ndo kitu inatuinspire wengi na hii ni nature ya vijana wengi wa new york, angalia rappers wengi waliokulia mitaa ya brooklyn, bronx, queens wanafanana hizo characters.

Refer kwanini carter na diddy wanaexist mpaka saizi ni watu wa deals nyingi na kuna mambo mengi wanayafanya nyuma ya pazia.
Vipi wakale kutoka staten Island?? Rza, Method man, Inspector, Power wa Wu-Wear nk .
Nawaheshim sana hawa mabro harakati zao hadi leo wako hapo walipo
 
Mkuu nakuelewa, ila sio kwamba life was easy hata mpaka leo maisha ya middle class sio maisha ya maana sana....

Kumbuka mama yake mjamaica alikuwa nurse tu.. kwahiyo sio kwamba katoka kwenye life poa kiiiiiivooo.

That's why he work his a#$ for it.
Bigi aliingia mtaani kuuza madawa kwasababu ni yeye mwenyewe alipenda kuwa muhuni na ndio maana hata muziki alipenda kuimba uhuni, hata shuleni alipofika high school ni yeye mwenyewe alimwambia mama yake ahame private kwenda public lengo aende kukutana na wahuni wengi, sio kwamba mama yake alishindwa kumlipia.

Biggie hakulelewa maisha ya kitajiri ila sio haba aliishi maisha walau ya kati, huwezi kumfananisha na tupac alieishi hood mitaa iliyojaa uhalifu, kuuana na maisha ya kimasikini
 
Hakuna rapper wa kumlinganisha n.a. Biggie duniani...
Nilisikiliza interview ya the late cow Obama miaka hiyo, aliulizwa PAC na BIGGIE unamkubali nani.... Akasema BIGGIE. Nikaona hebu ngoja niingie chimbo niwajue hawa jamaa!

Katika kuwafatilia nyimbo zao, life styles zao plus ku-hang ki harakati..... Binafsi yangu nikahitimisha kwa kusema PAC alikuwa kifaa sana! Yaani yule muhuni alikuwa habari nyingine kabisa!
 
Nilisikiliza interview ya the late cow Obama miaka hiyo, aliulizwa PAC na BIGGIE unamkubali nani.... Akasema BIGGIE. Nikaona hebu ngoja niingie chimbo niwajue hawa jamaa!

Katika kuwafatilia nyimbo zao, life styles zao plus ku-hang ki harakati..... Binafsi yangu nikahitimisha kwa kusema PAC alikuwa kifaa sana! Yaani yule muhuni alikuwa habari nyingine kabisa!
Latter to my unborn child!.
 
Watu wengi sana Hawaijui Hip hop vizuri na pia MZIKI mzuri hawaujui.

Wengi hazijui nyimbo za 2pac na wengi ni wafata mkumbo.

Huwezi mfananishq 2PAC na msanii yoyote yule wa HIP HOP. NI Mpumbavu pekee atakayethubutu kuwaza hilo.
 
Vipi wakale kutoka staten Island?? Rza, Method man, Inspector, Power wa Wu-Wear nk .
Nawaheshim sana hawa mabro harakati zao hadi leo wako hapo walipo
Wu-tang Clan wameiheshimisha sana mitaa ya park hill hapo staten island, legacy yao itaishi.
 
View attachment 2762707View attachment 2762709

Huyu alikulia hood mitaa iliyojaa msoto, uhalifu na umasikini, vitu livyoimba kuhusu shida ni mambo yaliyokuwa sehem ya maisha yake kwa muda mrefu.

2pac aliweza kufanya kazi kibao kudai haki, kuelimisha jamii, kutoa postive motivation, n.k. pia alipenda sana kusoma vitabu,

Changes ilikuwa kazi ya kiharakati kutetea haki za mtu mweusi, kukemea ubaguzi na kuhamasisha umoja wa watu weusi.

Dear mama ilitoa fundisho kuwa mama ni mama tu hata akiwa na mapungufu yake (mama yake alikuwa teja)

Only God can judge me alitoa ujumbe maridhawa kwamba ni Mungu pekee wa kumhukumu kikamilifu,

Brenda got a baby ilikemea mimba za utotoni.

Keep ya head high ni bonge la postive inspiration kujua thamani yako.

Wonder why they call you bitch ilitoa darasa kwa dada zetu tabia za kujiepusha ili wasijishushe thamani.


hizo ni chache tu.........

View attachment 2762702
View attachment 2762708

Ukija kwa Notorious Big, kwanza kabisa anadanganya kwamba aliishi maisha magumu wakati kiuhalisia hakulelewa maisha ya kitajiri ila sio haba aliishi maisha walau ya kati, mama yake alikuwa na kazi ya ualimu, Big alisomeshwa shule private, aliishi mitaa yenye hadhi ya wastan hakukulia hood, n.k. hali yake ilimpa wepesi hata wa kujuana na watoto wa kishua kina pdiddy, mama yake alikuwa anachukia sana kamlea vizuri ila yeye anadanganya kakulia kwenye shida

Big nyimbo kibao anaimba kubrag (kujisifia), bata, kudanganya aliishi maisha magumu, kusifia kuuza madawa kama njia sahihi ya kuhaso, n.k.

Huwa wanasema kazi zake za juicy na sky is the limit zina ujumbe, huo ujumbe ni upi ?

Juicy kaweka wazi mafanikio aliyopata kwenye mziki yamempa mkwanja wa kufanya umalaya na kupiga pamba kali, sioni cha kuelimisha hapo zaidi ya kujitamba.

Sky is the limit humo kaendeleza uongo wake kwamba alikulia maisha ya kimasikini, kasifia kwamba kuuza madawa ya kulevya kuna mkwanja kiasi aliamua kuacha shule ili ajifunze kuyauza, n.k.
Two families with different tastes!You call ideologies!
 
Watu wengi sana Hawaijui Hip hop vizuri na pia MZIKI mzuri hawaujui.

Wengi hazijui nyimbo za 2pac na wengi ni wafata mkumbo.

Huwezi mfananishq 2PAC na msanii yoyote yule wa HIP HOP. NI Mpumbavu pekee atakayethubutu kuwaza hilo.
Huu ni upumbavu mwingine. Pac and biggie have been cited as as the greatest rappers of all time it means yupi ni bora kuliko mwenzake is arguably sasa kusema pac hawezi fananishwa na mwengine ni 'ujuha' mkubwa unless uwe hujui chochote kuhusu biggie.

Hawa ndio wasanii wawili pekee waliogawa mashabiki kwenye hip hop history ya USA, so no matter una mahaba kiasi gani kwa pac au westside but never disrespect biggie.
 
Back
Top Bottom