you damn right dawg! And lets agree to disagree kila mtu anatest yake. Flow za biggie na ile flavor, good music ndio wengine tumependa, ujumbe ni issue subjective.Biggie had the flavor
Pac had the message and touched many.
Case laid to rest
Hoja yako ni nini? Kwa sababu Pac na Biggie huwa wanafananishwa kwa uwezo wao kimuziki. Sio walikulia wapi na kulelewa vipi. Anyway, lets break down your points.View attachment 2762707View attachment 2762709
Huyu alikulia hood mitaa iliyojaa msoto, uhalifu na umasikini, vitu livyoimba kuhusu shida ni mambo yaliyokuwa sehem ya maisha yake kwa muda mrefu.
2pac aliweza kufanya kazi kibao kudai haki, kuelimisha jamii, kutoa postive motivation, n.k. pia alipenda sana kusoma vitabu,
Changes ilikuwa kazi ya kiharakati kutetea haki za mtu mweusi, kukemea ubaguzi na kuhamasisha umoja wa watu weusi.
Dear mama ilitoa fundisho kuwa mama ni mama tu hata akiwa na mapungufu yake (mama yake alikuwa teja)
Only God can judge me alitoa ujumbe maridhawa kwamba ni Mungu pekee wa kumhukumu kikamilifu,
Brenda got a baby ilikemea mimba za utotoni.
Keep ya head high ni bonge la postive inspiration kujua thamani yako.
Wonder why they call you bitch ilitoa darasa kwa dada zetu tabia za kujiepusha ili wasijishushe thamani.
hizo ni chache tu.........
View attachment 2762702
View attachment 2762708
Ukija kwa Notorious Big, kwanza kabisa anadanganya kwamba aliishi maisha magumu wakati kiuhalisia hakulelewa maisha ya kitajiri ila sio haba aliishi maisha walau ya kati, mama yake alikuwa na kazi ya ualimu, Big alisomeshwa shule private, aliishi mitaa yenye hadhi ya wastan hakukulia hood, n.k. hali yake ilimpa wepesi hata wa kujuana na watoto wa kishua kina pdiddy, mama yake alikuwa anachukia sana kamlea vizuri ila yeye anadanganya kakulia kwenye shida
Big nyimbo kibao anaimba kubrag (kujisifia), bata, kudanganya aliishi maisha magumu, kusifia kuuza madawa kama njia sahihi ya kuhaso, n.k.
Huwa wanasema kazi zake za juicy na sky is the limit zina ujumbe, huo ujumbe ni upi ?
Juicy kaweka wazi mafanikio aliyopata kwenye mziki yamempa mkwanja wa kufanya umalaya na kupiga pamba kali, sioni cha kuelimisha hapo zaidi ya kujitamba.
Sky is the limit humo kaendeleza uongo wake kwamba alikulia maisha ya kimasikini, kasifia kwamba kuuza madawa ya kulevya kuna mkwanja kiasi aliamua kuacha shule ili ajifunze kuyauza, n.k.
Skia bro.Huu ni upumbavu mwingine. Pac and biggie have been cited as as the greatest rappers of all time it means yupi ni bora kuliko mwenzake is arguably sasa kusema pac hawezi fananishwa na mwengine ni 'ujuha' mkubwa unless uwe hujui chochote kuhusu biggie.
Hawa ndio wasanii wawili pekee waliogawa mashabiki kwenye hip hop history ya USA, so no matter una mahaba kiasi gani kwa pac au westside but never disrespect biggie.
sijui kwa nn watu wanamlinganishaga pac na vitu vya ajabu aisee, sijui na huwa sielewi kabisa, yaani bigie kuuza drugs ndo kipngele cha harakati zake zilinganishwe na pac? ths is not fair kabisa.Sijajua kwanini Jay-Z alitaka kununua hati miliki ya ngoma zote za 2PAC! Anyway ni mfanya biashara yule nadhani kuna kitu alikiona kwenye mziki wa PAC.
This is to show that PAC was ahead of BIGGIE!
Nipo hapa nasikiliza "ghetto gospel", namuenzi muhuni kidogo
Linatokea jitu linasema PAC hana flow.. hivi hii ngoma humo ndani alivyoflow Big anafika?Mama checked in my bedroom I ain't there - Hail mary
Biggie small ana flow lakini kaachwa mbali na pacLinatokea jitu linasema PAC hana flow.. hivi hii ngoma humo ndani alivyoflow Big anafika?
I agree to disagree, PERIOD! Ila let's not disrespect these fellas.Skia bro.
Kuwafananisha ni MUST kwa kuwa kuna maslahi ya kibiashara kutokana na BIFU lao. Ili kupambiza mauzo na fedha lazima watokee watu wachache wafanye kampeni ya kuwalinganisha.
Ila kiuhalisia Tupac ni mtu mwingine kabisa... GOAT.
Kama unabisha hilo weka bangers za BIG mie najibu kwa BANGER la PAC. Fimbo kwa Fimbo.
Bitchiez bring lies. Not lovePac anangoma naikubali sana
All eyez on me
Anakwambia "money bring bitches and bitch bring love
Hahahah basi mi nikiskiliza najua ni love mweeeBitchiez bring lies. Not love
Haahaa [emoji3], kazi za watu hizo mama [emoji1787]Hahahah basi mi nikiskiliza najua ni love mweee
Hahahaha hata mi naonaHaahaa [emoji3], kazi za watu hizo mama [emoji1787]
Unajua unachokisema lakini shekhe wetu?Notorious Big - gangsta msafi mjanja
Tupaki - msela mavi
mjanja aliechapiwa ?Notorious Big - gangsta msafi mjanja
Tupaki - msela mavi