Ukiwakuta pale kitambaa Cheupe huwezi amini kama wanalala kwa mafungu kama Carrot za Bonite😅Mkuu yaani nimecheka mpaka Mbavu zangu zinaniuma sasa kwani umesema Ukweli wa 99.9999% juu ya hawa Mademu.
Mwamba kaongea ukweli mtupu😅[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1430][emoji1430][emoji1430]Haki mkuu umenichekesha mnoo mnatuonea bhana
Hahahahah unakuta umem drop sana njiapanda siku moja unaamua umsindikize kwa mguu mpaka ndani balaa linakuja hapo .Jamani mkitaka kubaolojiana so nendeni mahoteli huko. Sio heshima kumla mtu Tena home kwake, hii haijakaa sawa.
Ndio dawa yao hao ving’ang’a yani😅 demu unamtia bata la laki 3 anakuona potential husband full usumbufu.Dah umenikumbusha, kuna demu nilikutana nae kiwanja, aisee anaongea kiupole lakini bonge la jambazi, shortly nilitaga pita, nikapita nae, now simu haziishi, nimeamua kumblock mazima,
Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
Hahaha hatare sana, Basi mtupangishie masakiHahahahah unakuta umem drop sana njiapanda siku moja unaamua umsindikize kwa mguu mpaka ndani balaa linakuja hapo .
Mnaweza kuacha gari kwa dakika 10 wakati mnakula chochoro za hatari! Yani hadi mtoboe geto mmehatarisha maisha sana kwa wajuba.
Hujawahi kuwa dropped na mwamba?Nimeshangaa pia.
Tutawapangishia wangapi sasa maana maslay queen ndio mnaongoza kwa kukaa mageto ya ef 80 tena wengine mnakaa kwa mafungu kama soseji za Beef Vienna.😂Hahaha hatare sana, Basi mtupangishie masaki
Kupafaham anapokaa demu wako ni kosa?😛😛😛Mwanaume kabisa unawezaje kwenda magetoni kwa demu, hujui hata nani analipia hilo geto.. huo ni ushamba
Ulienda mitaa ya Brazil ....hahaa dah utasikia nakaa kinondoni studio, halafu unamuona anatokea bondeni vichochoroni kuja kuibukia studio.Hujataja Kinondoni shamba, yamenikuta.
Kwako kashakuja mara kibao mnapoamua kuchenji venue sasa! Demu anakaa mazingira mabovu kweli yani😅 ila ukimuona anga zake za ulaji bata unaweza hisi mwanamke sindio huyu.Lakini kwa nini uende kwake? Si wewe umpeleke kwako!?
Hahaha mkuu dunia Ina maajabu Sana,,bia local sinywagi wakati mtu analala chini au analala kwa mafungu.Tutawapangishia wangapi sasa maana maslay queen ndio mnaongoza kwa kukaa mageto ya ef 80 tena wengine mnakaa kwa mafungu kama soseji za Beef Vienna.[emoji23]
Ila mkiwa mmebandika makucha na mikope ni kubugia savana na desperado tu. Eti bia local mie sinywagi[emoji23]
Hahahahahahah Sharaut kwa wote wa bonde la mpunga kule😂😂😂 ila anajifanya anakaa KaweUlienda mitaa ya Brazil ....hahaa dah utasikia nakaa kinondoni studio, halafu unamuona anatokea bondeni vichochoroni kuja kuibukia studio.
Mkuu GENTAMYCINE umewasahau wa kijitonyama kwa ali maua, kinondoni Moscow, mwananyamala na Tandale yote.
Sasa unataka mdangaji (malaya muuza mbususu) asijue bei ya guest/lodge au hotel??na wanajua kutumia uber
wanaenda fukwe ghali
ukimpa oda ya one night atakutajia hotel ghali na bei anazijua zote.
Mkuu unaamua kuwafir* kabisa? Angalia usije ukafulishwa mashuka ya lodge..hahaaaNa ndiyo maana wengine kwa Kuwakomoa zaidi kwa Upuuzi wao tukiwa nao tunaamua kupita nao barabara zote za Lami na Vumbi ili Wakome na Wakasimulie vyema huko Vijiweni Kwao ( Mwao )
Wapi nimesema kuwa nawaingilia kinyume na Maumbile kama unavyolazimisha? Acha Kiherehere cha Kufanya unajua Kumaanisha wakati hujui sawa? Kuna Watu mnakera kwa Kukurupuka Kwenu.Mkuu unaamua kuwafir* kabisa? Angalia usije ukafulishwa mashuka ya lodge..hahaaa
Ada estate halafu unakuta anaishi msasani bonde la mpunga au mikocheni uswahilini texasVp Tena mkuu uliambiwa anakaa Ada estate nn[emoji23][emoji23][emoji23]
Ukiona kawafata huko ujue hawezi kukupangia hata kwa mtogore tu mkuuHahaha hatare sana, Basi mtupangishie masaki
Halafu huwa hawalewi...utamnywisha hata savannah /heineken/windhoek za laki ila yupo macho makavu dadeki. Wezi hatari watchout ukimkaribisha home kwako.Tutawapangishia wangapi sasa maana maslay queen ndio mnaongoza kwa kukaa mageto ya ef 80 tena wengine mnakaa kwa mafungu kama soseji za Beef Vienna.😂
Ila mkiwa mmebandika makucha na mikope ni kubugia savana na desperado tu. Eti bia local mie sinywagi😂
Hahahahah hakawilii kuondoka na saa yako moja😅 utashangaa haipo tu! Aisee hizo mama za kuokoteza kwenye ma Bar mie siziwezagiH
Halafu huwa hawalewi...utamnywisha hata savannah /heineken/windhoek za laki ila yupo macho makavu dadeki. Wezi hatari watchout ukimkaribisha home kwako.