70% ya Mademu wa Dar wanaopendeza sana, wana Mashauzi na wana Simu Kali wanalala Sakafuni na Magodoro yao Ghetoni

70% ya Mademu wa Dar wanaopendeza sana, wana Mashauzi na wana Simu Kali wanalala Sakafuni na Magodoro yao Ghetoni

H

Halafu huwa hawalewi...utamnywisha hata savannah /heineken/windhoek za laki ila yupo macho makavu dadeki. Wezi hatari watchout ukimkaribisha home kwako.
Sasa kahb utamkaribishaje kwako??? Utajivunjia heshima ntaani kwako bure tu mkuu
 
Hahahahah hakawilii kuondoka na saa yako moja😅 utashangaa haipo tu! Aisee hizo mama za kuokoteza kwenye ma Bar mie siziwezagi
Code zao ukiwakuta viwanja utawakuta wana vitattoo uchwara mikononi,mabegani au kiunoni. Simu kubwa, na vipochi vya kiunoni.
 
Umesema kweli ndugu. Na usiombe ukutane nao sehemu za starehe au kwenye ma mall huko. Jinsi wanavyonata unaweza sema wanaishi mbinguni. Ukipanga nao miadi hata siku moja hawakwambii uafuate makwao; ni aidha nyumbani kwa rafiki ama njiani. Na wao hujifanya ni mwiko kupanda daladala au bodaboda wakiwa wanakuja kwako; wanataka wa request UBER.
Ila sasa usiombe ukutane nao kwenye mishe zao binafsi, wanajuaga mpaka kuingilia dirishani kwenye daladala za kugombania.

Kipimo cha mademu design hii, ukiwakaribisha kwako au hata hotel jambo la kwanza wanalofanya ni kupiga picha mfululizo kila angle na kupost chilling at home au living large. Hii huwa ni reference ya kuhalalisha maisha yao fake ya mtandaoni.
Na kama ni kwako umemkaribisha, atagoma kuondoka. Utakaona kamejilaza kwenye sofa kanabadilisha channel za tv, huku kamevaa tshirt yako bila ya chupi. Hakajali ni Jumatatu, siku ya kazi. Kenyewe kanazuga zuga tu ukaache hapo. Utasikia baby ukirudi niletee ice cream, kama vile kanaishi hapo.
Kakiondoka lazima kaache japo chupi, ukitahamaki kamehamishia nguo zake zote kwako na tayari kamehamia hapo.
😂😂😂😂😂 inaonekana unawajua Sana.
 
Mimi huwa naogopa wanawake wanaopendeza sana wanaotumia simu za thamani kubwa nywele za bei mbaya na muonekano wa thamani kwa kudhani siyo hadhi yangu

Inawezekana nakosea na ninakosa starehe za dunia lakin pia inanipa nafasi ya kutengeneza msingi wa maisha yangu maana kuwahudumia wao ni gharama maana wanapenda kushindana na watu mitandaoni
Uko sahihi kabisa... na wengi wao wanaishi fake life,wachache wao ndio wako real.
 
Sasa hujakutana na wale ambao wanajifanya hawaijui miogo, utawasikia ".....yaani mimi tumbo langu nikila miogo lina unguruma.........".

Sasa ubahatike umfumanie kwenye maisha yake halisi asubuhi kapanga foleni na bakuli lake,halafu anampigia kelele muuzaji "........kila siku nikija unaichelewesha miogo yangu, hebu niwekee ya buku haraka.......".

Ukimuliza "...baby wewe si ulagi miogo....tumbo litaunguruma........",atazuga "......mimi leo tu basi nilikuwa na hamu ya miogo......",hamu ya miogo MIOGO YA BUKU !!!!!.....manake miogo ya buku ni mlima, unaweza ukaua winga asubuhi na mchana, ukipiga kombe lako la maji unapiga miluzi unaitafuta usiku.

Sasa yy miogo ya buku kwake ni mlo mmoja wa asubuhi.
 
Sasa hujakutana na wale ambao wanajifanya hawaijui miogo, utawasikia ".....yaani mimi tumbo langu nikila miogo lina unguruma.........".

Sasa ubahatike umfumanie kwenye maisha yake halisi asubuhi kapanga foleni na bakuli lake,halafu anampigia kelele muuzaji "........kila siku nikija unaichelewesha miogo yangu, hebu niwekee ya buku haraka.......".

Ukimuliza "...baby wewe si ulagi miogo....tumbo litaunguruma........",atazuga "......mimi leo tu basi nilikuwa na hamu ya miogo......",hamu ya miogo MIOGO YA BUKU !!!!!.....manake miogo ya buku ni mlima, unaweza ukaua winga asubuhi na mchana, ukipiga kombe lako la maji unapiga miluzi unaitafuta usiku.

Sasa yy miogo ya buku kwake ni mlo mmoja wa asuhi.
Ha haaaa haaaaa eti miogo ya buku!au anashindia siku nzima?
 
Na wengi wao Wanaishi maeneo ya Tabata Segerea, Banana Gongo la Mboto, Kimara Bonyokwa, Mbezi Makabe, Tegeta, Salasala, Mbagala Kipati, Bunju B, Mabwepande, Ubungo Maji, Yombo, Kawe Ukwamani, Mbezi Beach ya kwa Maua hadi ile ya Makonde upande wa kuelekea Baraza la Mitihani, Buza, Msasani mkabala na Uwanja wa Magunia, Mwananyamala,
Buguruni Malapa na Kinondoni Studio.

Sasa ndiyo uwe umepanga kwenda Kumtembelea na Kufanya nae Uzinifu wa Kibaiolojia umkute ana Godoro lake Futi 1 kwa 3 Magoti yako yatasugulika Sakafuni mpaka Ngozi Kubamduka.

Wanaume tujitahidini kuanzia sasa tukitongoza tuwe tunauliza Mazingira ya wanapoishi kwani kuna uwezekano ukaenda huko ukiwa mzima ila ukitoka lazima Magoti yako yatakuwa na Bandage au Umebandika Plasta kwa Kuchubuka Kwake Sakafuni wakati wa Kubaiolojiana nae Kwake ( Ghettoni ) alikopanga.

Najuta.....!!!!!!!!
Hiyo picha kwenye status yako,inaendana na ulichokuandika.
 
Nawachukia sana binadamu wanao fake maisha
Hata Mimi Mkuu na sijui ni kwanini Watu ( hata 85% ) ya JF Members hupenda kuonyesha kuwa wana Maisha ya Juu wakati wengi wao tena kwa 95% hayo siyo Maisha yao.

Nashukuru kuwa Mimi ni mwana JF Member pekee ambaye najulikana na wengi hapa kuwa ni Masikini wa Kutupwa na Maisha yangu ni Magumu tena kuliko Watu wanavyodhani ila napambana katika kuyaweka sawa nikiamini kuwa kwa Kudra zake Mwenyezi Mungu ipo Siku nami nitafanikiwa kwani kwa Mola ( Maulana ) huwa hakuna Kuwahi au Kuchelewa muhimu tu ni Afya Njema, Kutokukaa Tamaa na Pumzi ya Uhai.
 
Back
Top Bottom