70% ya wahanga Gaza na Lebanon kunakosemekana kuuwawa magaidi, ni wanawake na watoto. Yawezekana maana ya neno gaidi haijulikani!

70% ya wahanga Gaza na Lebanon kunakosemekana kuuwawa magaidi, ni wanawake na watoto. Yawezekana maana ya neno gaidi haijulikani!

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
31,698
Reaction score
41,733
Imekuwa ikiripotiwa na vyombo vya habari vyenye kuegemea magharibi kuhusu magaidi na ugaidi; wengine tukashadadia.

Kwamba Israel inapambana na magaidi, na kutokea Oct. 7, 2023 takwimu ndiyo hizi:

IMG_20241109_094145.jpg


Bila shaka ndiyo maana kina Mandela, Gaddafi, Saddam, Castro, nk waliitwa magaidi. Kama ilivyo kwa Iran au North Korea. Lakini si Qatar, Saudia wala Kenya huko.

Kwamba kumbe yote hii ni malipo tu ya uchaguzi baina kuwasabiria au kuwakomalia wenye maguvu yao?

Kwa hakika kama ndivyo, yawezekana hata wa Taleban, au kina Osama au yule mwamba Salenda, wala si magaidi kwa tafsiri iliyopo!

Ya hivi si ndiyo yamekuwa yakiwasibu kwetu wengi wakiwamo mashehe, wafuasi wa CUF, Chadema, nk kila wapozikataa dhuluma za dola?

Kwa hakika si sahihi kuwaita au kuwahukumu watu kuwa magaidi pasipo na kuwasikiliza wao wenyewe wakijieleza.

Yawezekana wenye kutuhumu ndiyo haswa walio magaidi wenyewe!

"Kwamba ugaidi ni dhana ya mabeberu ubeberu unapopingwa, kumbe hiyo ituhusu vipi sisi?"

Vyombo vya habari si vya kuamini sana, tena kwenye face value.

Hatari sana!
 
Imekuwa ikiripotiwa na vyombo vya habari vyenye kuegemea magharibi kuhusu magaidi na ugaidi; wengine tukashadadia.

Kwamba Israel inapambana na magaidi, na kutokea Oct. 7, 2023 mathalani, kila uchwao wanapambana na magaidi na takwimu ndiyo hizi:

View attachment 3147671

Bila shaka ndiyo maana kina Mandela, Gaddafi, Saddam, Castro, nk waliitwa. Kama ilivyo kwa Iran au North Korea. Kwamba si Qatar, Saudia wala Kenya.

Kwamba kumbe yote hii ni malipo ya uchaguzi baina kuwasabiria au kuwakomalia wenye maguvu yao.

Kwa hakika kwamba ndivyo, yawezekana hata wa Taleban, au kina Osama au huyu mwamba:

View attachment 3147673

wala si magaidi kwa tafsiri iliyopo!

Ya hivi si ndiyo yamekuwa yakiwasibu kwetu wengi wakiwamo mashehe, wafuasi wa CUF, Chadema, nk kila wapozikataa dhuluma za dola?

Kwa hakika si sahihi kuwaita au kuwahukumu watu kuwa magaidi pasipo na kuwasikiliza. Yawezekana wenye kutuhumu ndiyo walio magaidi wenyewe kumbe watuhumiwa wao wakajitetee wapi?

"Kwamba kumbe ugaidi ni dhana ya mabeberu ubeberu unapopingwa, hiyo ituhusu vipi sisi?"

Kwa hakika vyombo vya habari si vya kuamini sana na Tena kwenye face value.

Hatari sana!
Magaidi yanaua halafu yanakwenda kuishi mitaani waliko wanawake na watoto.Sasa mzayuni yeye hana cha salia mtume .anatandika tuu.
Hao wanawake na watoto walitakiwa kuyakimbia magaidi badala yake yanaishi na kula nayo kwa hiyo wote wanakwenda na maji
 
Imekuwa ikiripotiwa na vyombo vya habari vyenye kuegemea magharibi kuhusu magaidi na ugaidi; wengine tukashadadia.

Kwamba Israel inapambana na magaidi, na kutokea Oct. 7, 2023 takwimu ndiyo hizi:

View attachment 3147671

Bila shaka ndiyo maana kina Mandela, Gaddafi, Saddam, Castro, nk waliitwa. Kama ilivyo kwa Iran au North Korea. Kwamba si Qatar, Saudia wala Kenya.

Kwamba kumbe yote hii ni malipo ya uchaguzi baina kuwasabiria au kuwakomalia wenye maguvu yao.

Kwa hakika kwamba ndivyo, yawezekana hata wa Taleban, au kina Osama au huyu mwamba:

View attachment 3147673

wala si magaidi kwa tafsiri iliyopo!

Ya hivi si ndiyo yamekuwa yakiwasibu kwetu wengi wakiwamo mashehe, wafuasi wa CUF, Chadema, nk kila wapozikataa dhuluma za dola?

Kwa hakika si sahihi kuwaita au kuwahukumu watu kuwa magaidi pasipo na kuwasikiliza. Yawezekana wenye kutuhumu ndiyo walio magaidi wenyewe kumbe watuhumiwa wao wakajitetee wapi?

"Kwamba kumbe ugaidi ni dhana ya mabeberu ubeberu unapopingwa, hiyo ituhusu vipi sisi?"

Kwa hakika vyombo vya habari si vya kuamini sana na Tena kwenye face value.

Hatari sana!
Tatizo ilipo ni kwamba magaidi wa naweka base zao katikati ya makazi ya raia, Wanatumia raia kama kinga, hapo hakuna namna
 
Magaidi yanaua halafu yanakwenda kuishi mitaani waliko wanawake na watoto.Sasa mzayuni yeye hana cha salia mtume .anatandika tuu.
Hao wanawake na watoto walitakiwa kuyakimbia magaidi badala yake yanaishi na kula nayo kwa hiyo wote wanakwenda na maji

Huku kwako si ndiko kushadadia taslimu wasemavyo mabeberu?

1. Haupo uhalali wowote wa kumwua mtu yeyote kwa sababu yoyote.

2. Kwamba kunakuua na kujificha kwa raia wewe umejuaje?

3. Hakuna popote Israel imekiri kuuwa wanawake au watoto au wasio na hatia zaidi ya kila siku kudai kuuwa magaidi.
 
Tatizo ilipo ni kwamba magaidi wa naweka base zao katikati ya makazi ya raia, Wanatumia raia kama kinga, hapo hakuna namna

Huku kwako si ndiko kushadadia taslimu wasemavyo mabeberu?

1. Haupo uhalali wowote wa kumwua mtu yeyote kwa sababu yoyote.

2. Kwamba kunakuua na kujificha kwa raia wewe umejuaje?

3. Hakuna popote Israel imekiri kuuwa wanawake au watoto au wasio na hatia zaidi ya kila siku kudai kuuwa magaidi.
 
Nyie HAMAS ni hovyo sana, mlishindwa vipi kupambana kama wale magaidi wengine wa Waislam akina al-Shabaab, Hezbollah... Wao huwa hawajifichi nyuma ya wanawake.
Mliua watoto wa Wayahudi kisha mkachukua wengine mateka na kujificha nyuma ya wanawake, mnafyekwa tu hamna namna.
Niliona mapicha ya mlichofanya kwa hao watoto wa Wayahudi nikachukia sana, aisei mfe tu nyie.
 
Watakwambia Magaidi wanajificha kwenye makazi ya raia huku hao hao wakisifia hayo majeshi yana watu wenye akili sana,sasa kupitia hizo akili zao sijui wanashindwaje kutenganisha watoto, akinamama na hao magaidi.

Kama jeshi la USA lilikwenda Panama kumchukua Noriega ikulu sijui wanashindwe sasa kuingia hapo Gaza na Lebanon kuchukua hao magaidi au kuwaua mpaka wanauaua watu hovyo.
Hitler na Manazi walilaumiwa sana kwa kuwaua jews lakini leo hii dunia iko kimya Jews wanavyoua watu hovyohovyo Palestina na Lebanon.
 
Israel toka lini anapigana vita yeye vita yake ni kuwauwa wanawake, watoto, vizee na kuvunja majumba, mashule, masajidi, hospital na etc.
 
Nyie HAMAS ni hovyo sana, mlishindwa vipi kupambana kama wale magaidi wengine wa Waislam akina al-Shabaab, Hezbollah... Wao huwa hawajifichi nyuma ya wanawake.
Mliua watoto wa Wayahudi kisha mkachukua wengine mateka na kujificha nyuma ya wanawake, mnafyekwa tu hamna namna.
Niliona mapicha ya mlichofanya kwa hao watoto wa Wayahudi nikachukia sana, aisei mfe tu nyie.

Sisi siyo HAMAS tukiendelea na maisha yetu Tegeta Nyuki huku.

Wewe uliona mapicha kwenye habari za mabeberu?

Kwani wewe hujui beberu kama P.Diddy ana matakwa yake ukikaza anakuita gaidi?

Mbona hata kwetu ni hivyo?

Mwamba mmoja Salenda akiitwa gaidi ilikuja fahamika alikuwa mhanga wa dhuluma aliyeamua kujipigania, lolote liwe.

Kwenye siasa za kwetu ugaidi ni silaha ya kunyamazishia wapinzani:

IMG_20241109_132447.jpg


Kwa tafsiri iliyopo bila shaka magaidi ni wenye kuita wenzao hivyo!

imhotep, binti kiziwi, Erythrocyte (usinichoke tafadhali), Tlaatlaah, Extrovert na wapambanaji wengine au nasema uongo?
 
Watakwambia Magaidi wanajificha kwenye makazi ya raia huku hao hao wakisifia hayo majeshi yana watu wenye akili sana,sasa kupitia hizo akili zao sijui wanashindwaje kutenganisha watoto, akinamama na hao magaidi.

Kama jeshi la USA lilikwenda Panama kumchukua Noriega ikulu sijui wanashindwe sasa kuingia hapo Gaza na Lebanon kuchukua hao magaidi au kuwaua mpaka wanauaua watu hovyo.
Hitler na Manazi walilaumiwa sana kwa kuwaua jews lakini leo hii dunia iko kimya Jews wanavyoua watu hovyohovyo Palestina na Lebanon.

Bila kusahau haupo uhalali wa kumwua yeyote asiyekuwa na hatia.

Kwamba ugaidi ni uuaji wa wasiokuwa na hatia.

Kwamba magaidi ni hawa wanaotuhumu wenzao.
 
Sisi siyo HAMAS tukiendelea na maisha yetu Tegeta Nyuki huku.

Wewe uliona mapicha kwenye habari za mabeberu?

Kwani wewe hujui beberu kama P.Diddy ana matakwa yake ukikaza anakuita gaidi?

Mbona hata kwetu ni hivyo?

View attachment 3147772

Pichani akiitwa gaidi ilikuja fahamika alikuwa mhanga wa dhuluma akaamua kujipigania.

Kwenye siasa za kwetu ugaidi ni silaha ya kunyamazishia wapinzani:

View attachment 3147774

Magaidi Kwa tafsiri iliyopo bila shaka ni wenye kuita wenzao magaidi!

imhotep, binti kiziwi, Erythrocyte (usinichoke tafadhali), Tlaatlaah, Extrovert na wapambanaji wengine au nasema uongo?
wacha tusibiri tuone,
utakua ni ukibaraka na ushoga au uzalendo ndani ya Chama?

bado tunavutana na kupimana ubavu 🐒
 

Attachments

  • downloadfile-6.jpg
    downloadfile-6.jpg
    91.7 KB · Views: 4
  • downloadfile-2.jpg
    downloadfile-2.jpg
    207 KB · Views: 4
Imekuwa ikiripotiwa na vyombo vya habari vyenye kuegemea magharibi kuhusu magaidi na ugaidi; wengine tukashadadia.

Kwamba Israel inapambana na magaidi, na kutokea Oct. 7, 2023 takwimu ndiyo hizi:

View attachment 3147671

Bila shaka ndiyo maana kina Mandela, Gaddafi, Saddam, Castro, nk waliitwa magaidi. Kama ilivyo kwa Iran au North Korea. Lakini si Qatar, Saudia wala Kenya huko.

Kwamba kumbe yote hii ni malipo tu ya uchaguzi baina kuwasabiria au kuwakomalia wenye maguvu yao?

Kwa hakika kams ndivyo, yawezekana hata wa Taleban, au kina Osama au huyu mwamba:

View attachment 3147673

wala si magaidi kwa tafsiri iliyopo!

Ya hivi si ndiyo yamekuwa yakiwasibu kwetu wengi wakiwamo mashehe, wafuasi wa CUF, Chadema, nk kila wapozikataa dhuluma za dola?

Kwa hakika si sahihi kuwaita au kuwahukumu watu kuwa magaidi pasipo na kuwasikiliza wao wenyewe wakijieleza.

Yawezekana wenye kutuhumu ndiyo haswa walio magaidi wenyewe!

"Kwamba ugaidi ni dhana ya mabeberu ubeberu unapopingwa, kumbe hiyo ituhusu vipi sisi?"

Vyombo vya habari si vya kuamini sana, tena kwenye face value.

Hatari sana!
Kwa AKILI YAKO KABISA YAANI UNAWAAMINI UN iliyoko chini ya @antonioguterres huyo Mtu ni pandikizi Mkomunisti kindakindaki ambaye walikuwa na Yasser Arafat huko nyuma enzi za KGB ya URUSI. Pia Hao UN wako wanaofanya NG*NO ndani ya Magari ya UN. HAO UN wako wanaosapoti Hezbollah kule Lebanon!
NG*NO NDANI YA GARI YA UN

View: https://x.com/AsaadHannaa/status/1849811521850712065
UN SUPPORT TO HEZBOLLAH

View: https://x.com/EastVoiceSpeaks/status/1845951616186274271
Antonio Guterres with Arafat in 1970
Screenshot_20241109-143404_Chrome.jpg
 
Imekuwa ikiripotiwa na vyombo vya habari vyenye kuegemea magharibi kuhusu magaidi na ugaidi; wengine tukashadadia.

Kwamba Israel inapambana na magaidi, na kutokea Oct. 7, 2023 takwimu ndiyo hizi:

View attachment 3147671

Bila shaka ndiyo maana kina Mandela, Gaddafi, Saddam, Castro, nk waliitwa magaidi. Kama ilivyo kwa Iran au North Korea. Lakini si Qatar, Saudia wala Kenya huko.

Kwamba kumbe yote hii ni malipo tu ya uchaguzi baina kuwasabiria au kuwakomalia wenye maguvu yao?

Kwa hakika kams ndivyo, yawezekana hata wa Taleban, au kina Osama au huyu mwamba:

View attachment 3147673

wala si magaidi kwa tafsiri iliyopo!

Ya hivi si ndiyo yamekuwa yakiwasibu kwetu wengi wakiwamo mashehe, wafuasi wa CUF, Chadema, nk kila wapozikataa dhuluma za dola?

Kwa hakika si sahihi kuwaita au kuwahukumu watu kuwa magaidi pasipo na kuwasikiliza wao wenyewe wakijieleza.

Yawezekana wenye kutuhumu ndiyo haswa walio magaidi wenyewe!

"Kwamba ugaidi ni dhana ya mabeberu ubeberu unapopingwa, kumbe hiyo ituhusu vipi sisi?"

Vyombo vya habari si vya kuamini sana, tena kwenye face value.

Hatari sana!
hv unajimbua ? Israel hutoa taarifa mapema ila hao akina mama wanakubali kuwa ngao ya magaidi , nan wa kulaumia hapo ?
 
hv unajimbua ? Israel hutoa taarifa mapema ila hao akina mama wanakubali kuwa ngao ya magaidi , nan wa kulaumia hapo ?
Huyu anasikiliza Channel ya Kigaidi ya Aljazeera, ambao wao pamoja na Guterres wako kwenye payroll ya Qatar. Angejua mwamba kesha waambia Qatar kuwa hataki Kusikia Kamasi ziko pale Qatar.
Halafu hajiulizi tu Viongozi wengi wamempongeza Trump. Je Guterres katoa tamko?!
 
Back
Top Bottom