Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna watu hapa wanajadili ila wana matatizo ya afya ya akili ila hawajajijuaOnyesha ulipokwazwa tukutake radhi.
Ninauhakika hautapaonyesha Kwa sababu hakuna.
Bwana Utam, Tlaatlaah, Mzee Kigogo, binti kiziwi hebu oneni huyu ndugu akiita wengine magaidi kakerwa na nini huyu kwenye uzi wa wazi kama huu, kutaka aombwe radhi?
NB: Hallucinations ni ugonjwa!
Hiyo 30% walijificha ndani ya 70% ya raia, shughulisha ubongo wako
Mtoto wa mamba naye ni mamba, na mamba anazaa na mamba mwenzie
Hawa wanaounga wanaume kupelekeana moto wao kwa wao, unategemea watakupa sheria nzuri?Collective punishment is a form of sanction imposed on persons or a group of persons in response to a crime committed by one of them or a member of the group.
Collective punishment ni kinyume cha sheria za kimataifa labda kwenu ukara huko, ambako mamba ni rasilimali!
Hawa wanaounga wanaume kupelekeana moto wao kwa wao, unategemea watakupa sheria nzuri?
Sisi siyo HAMAS tukiendelea na maisha yetu Tegeta Nyuki huku.
Wewe uliona mapicha kwenye habari za mabeberu?
Kwani wewe hujui beberu kama P.Diddy ana matakwa yake ukikaza anakuita gaidi?
Mbona hata kwetu ni hivyo?
Mwamba mmoja Salenda akiitwa gaidi ilikuja fahamika alikuwa mhanga wa dhuluma aliyeamua kujipigania, lolote liwe.
Kwenye siasa za kwetu ugaidi ni silaha ya kunyamazishia wapinzani:
View attachment 3147774
Kwa tafsiri iliyopo bila shaka magaidi ni wenye kuita wenzao hivyo!
imhotep, binti kiziwi, Erythrocyte (usinichoke tafadhali), Tlaatlaah, Extrovert na wapambanaji wengine au nasema uongo?
Sio HAMAS kivipi kutwa JF kutetea hayo magaidi ya waislamu, pambaneni kama wale wengine.
Naona wewe ni mtu wa Bundasliga nadhani unajua fika tumeanzia wapi hebu Rewind.Onyesha ulipokwazwa tukutake radhi
Naona wewe ni mtu wa Bundasliga nadhani unajua fika tumeanzia wapi hebu Rewind.
Umwombe radhi ya nnMwamba kanikomalia nimwombe radhi.
Kazi kweli kweli.
imhotep, sijishashi jf hata "ban" ya kusingiziwa haijawahi kunihusu.
Umwombe radhi ya nn
Ulishawahi kusikia Gaza kuna kambi ya jeshi la Hamas?Imekuwa ikiripotiwa na vyombo vya habari vyenye kuegemea magharibi kuhusu magaidi na ugaidi; wengine tukashadadia.
Kwamba Israel inapambana na magaidi, na kutokea Oct. 7, 2023 takwimu ndiyo hizi:
View attachment 3147671
Bila shaka ndiyo maana kina Mandela, Gaddafi, Saddam, Castro, nk waliitwa magaidi. Kama ilivyo kwa Iran au North Korea. Lakini si Qatar, Saudia wala Kenya huko.
Kwamba kumbe yote hii ni malipo tu ya uchaguzi baina kuwasabiria au kuwakomalia wenye maguvu yao?
Kwa hakika kama ndivyo, yawezekana hata wa Taleban, au kina Osama au yule mwamba Salenda, wala si magaidi kwa tafsiri iliyopo!
Ya hivi si ndiyo yamekuwa yakiwasibu kwetu wengi wakiwamo mashehe, wafuasi wa CUF, Chadema, nk kila wapozikataa dhuluma za dola?
Kwa hakika si sahihi kuwaita au kuwahukumu watu kuwa magaidi pasipo na kuwasikiliza wao wenyewe wakijieleza.
Yawezekana wenye kutuhumu ndiyo haswa walio magaidi wenyewe!
"Kwamba ugaidi ni dhana ya mabeberu ubeberu unapopingwa, kumbe hiyo ituhusu vipi sisi?"
Vyombo vya habari si vya kuamini sana, tena kwenye face value.
Hatari sana!
Mnaingiza chadema Tena?. Upuuzi hautakaa uishe hii nchi.Mkuu ustake ncheke, ila tusubiri kitaeleweka tu!
Ukitaka kumuuwa mbwa, mpe jina baya.........Hapo zile jamii za wasayuni na makamanda uchwara wa kwetu ni mwendo wa kupita juu kwa juu, kimya kimya, wakijisemea:
"hiiiiiiii .. iiiii!"
MK254, Mzee Kigogo, Moisemusajiografii, PakiJinja, binti kiziwi, imhotep, joex, Tlaatlaah na wale wapambanaji wengine au nasema uongo ndugu zangu?
Kwani si mnasema hamas wameshinda vita sasa kwanini wanashindwa kuzuia hiyo genocide mpaka mnakuja kulia lia ili dunia iwahurumie wapalestina sasa kama hamas wana manguvu si wazuie hivyo vifo vya wapalestina?Imekuwa ikiripotiwa na vyombo vya habari vyenye kuegemea magharibi kuhusu magaidi na ugaidi; wengine tukashadadia.
Kwamba Israel inapambana na magaidi, na kutokea Oct. 7, 2023 takwimu ndiyo hizi:
View attachment 3147671
Bila shaka ndiyo maana kina Mandela, Gaddafi, Saddam, Castro, nk waliitwa magaidi. Kama ilivyo kwa Iran au North Korea. Lakini si Qatar, Saudia wala Kenya huko.
Kwamba kumbe yote hii ni malipo tu ya uchaguzi baina kuwasabiria au kuwakomalia wenye maguvu yao?
Kwa hakika kama ndivyo, yawezekana hata wa Taleban, au kina Osama au yule mwamba Salenda, wala si magaidi kwa tafsiri iliyopo!
Ya hivi si ndiyo yamekuwa yakiwasibu kwetu wengi wakiwamo mashehe, wafuasi wa CUF, Chadema, nk kila wapozikataa dhuluma za dola?
Kwa hakika si sahihi kuwaita au kuwahukumu watu kuwa magaidi pasipo na kuwasikiliza wao wenyewe wakijieleza.
Yawezekana wenye kutuhumu ndiyo haswa walio magaidi wenyewe!
"Kwamba ugaidi ni dhana ya mabeberu ubeberu unapopingwa, kumbe hiyo ituhusu vipi sisi?"
Vyombo vya habari si vya kuamini sana, tena kwenye face value.
Hatari sana!
Mimi huwa nashindwa kuwaelewa wafia dini mnawapongeza hamas wanapoishambulia israel na kuua wayahudi, kubaka, kuteka, kuchinja wayahudi na kuwashikilia mateka vibibi, vitoto vya kiyahudi , kuwarushia maroketi ila upande wa pili mnalia lia wapalestina wanauawa militaka israel ifanyeje ili hali hamas wamechagua njia ya vita kumkabili myahudi na vita ni kuuanaImekuwa ikiripotiwa na vyombo vya habari vyenye kuegemea magharibi kuhusu magaidi na ugaidi; wengine tukashadadia.
Kwamba Israel inapambana na magaidi, na kutokea Oct. 7, 2023 takwimu ndiyo hizi:
View attachment 3147671
Bila shaka ndiyo maana kina Mandela, Gaddafi, Saddam, Castro, nk waliitwa magaidi. Kama ilivyo kwa Iran au North Korea. Lakini si Qatar, Saudia wala Kenya huko.
Kwamba kumbe yote hii ni malipo tu ya uchaguzi baina kuwasabiria au kuwakomalia wenye maguvu yao?
Kwa hakika kama ndivyo, yawezekana hata wa Taleban, au kina Osama au yule mwamba Salenda, wala si magaidi kwa tafsiri iliyopo!
Ya hivi si ndiyo yamekuwa yakiwasibu kwetu wengi wakiwamo mashehe, wafuasi wa CUF, Chadema, nk kila wapozikataa dhuluma za dola?
Kwa hakika si sahihi kuwaita au kuwahukumu watu kuwa magaidi pasipo na kuwasikiliza wao wenyewe wakijieleza.
Yawezekana wenye kutuhumu ndiyo haswa walio magaidi wenyewe!
"Kwamba ugaidi ni dhana ya mabeberu ubeberu unapopingwa, kumbe hiyo ituhusu vipi sisi?"
Vyombo vya habari si vya kuamini sana, tena kwenye face value.
Hatari sana!