70% ya wahanga Gaza na Lebanon kunakosemekana kuuwawa magaidi, ni wanawake na watoto. Yawezekana maana ya neno gaidi haijulikani!

70% ya wahanga Gaza na Lebanon kunakosemekana kuuwawa magaidi, ni wanawake na watoto. Yawezekana maana ya neno gaidi haijulikani!

Tujadiliane kwa stara bila kuingiza watu waliotangulia mbele.

Wapi hakujajadiliwa jambo kwa staha?

Bila shaka unakubaliana nami si sahihi awaye yote kutuhumiwa kwa ugaidi kwani mwenye tuhuma anaweza kuwa ndiye gaidi mwenyewe.
 
Huyu anasikiliza Channel ya Kigaidi ya Aljazeera, ambao wao pamoja na Guterres wako kwenye payroll ya Qatar. Angejua mwamba kesha waambia Qatar kuwa hataki Kusikia Kamasi ziko pale Qatar.
Halafu hajiulizi tu Viongozi wengi wamempongeza Trump. Je Guterres katoa tamko?!

Wacha kujisemea vitu usivyokuwa na ushahidi ndugu.

Wapi umeniona nikiangalia channel za kigaidi? Bila kusahau kumbe hata ugaidi ni nini basi? Kutokuwasabiria maisha mabeberu?

IMG_20241109_141039.jpg


Ilishinikizwa Qatar na Marekani siku 10 zilizopita kuwataka HAMAS kuondoka bila ya ridhaa yao wakidhani wangepata mateka kuachiliwa bila shaka kama mtaji wa kura za juzi.

Qatar bila shaka kama wewe wamewasabiria vilivyo maisha wamerekani kuwafanya watakavyo.

Shinikizo la siku 10 zilizopita lina nini cha kufanya na Trump wa juzi?

Mengine ya hivi danganyaneni wenyewe kwenye vijiwe wa dhumna huko!
 
Jo
Huku kwako si ndiko kushadadia taslimu wasemavyo mabeberu?

1. Haupo uhalali wowote wa kumwua mtu yeyote kwa sababu yoyote.

2. Kwamba kunakuua na kujificha kwa raia wewe umejuaje?

3. Hakuna popote Israel imekiri kuuwa wanawake au watoto au wasio na hatia zaidi ya kila siku kudai kuuwa magaidi.
Ina maana nyie waislam mmehalalishiwa kuvamia kijiji na kuua watu lakini nyie mkiuwawa mnaanza kulalama.Kuna tofauti gani kati ya yale ya trh 07October 23 na yanayoendelea Gazq?
Kumbuka ulimwengu wote wa kiislam ulishangilia kwa yale mauaji.
Sisi wapenda haki tunasema wacha yahudi atembeze kichapo.
 
hv unajimbua ? Israel hutoa taarifa mapema ila hao akina mama wanakubali kuwa ngao ya magaidi , nan wa kulaumia hapo ?

Kwamba mwenye kujitambua utakuwa wewe kuliko UN?

IMG_20241109_094145.jpg


Hivi kupata hoja za kipumbavu kama yako baada ya ,149 niweke option gani kabla ya kubonyeza reli?
 
Imekuwa ikiripotiwa na vyombo vya habari vyenye kuegemea magharibi kuhusu magaidi na ugaidi; wengine tukashadadia.

Kwamba Israel inapambana na magaidi, na kutokea Oct. 7, 2023 takwimu ndiyo hizi:

View attachment 3147671

Bila shaka ndiyo maana kina Mandela, Gaddafi, Saddam, Castro, nk waliitwa magaidi. Kama ilivyo kwa Iran au North Korea. Lakini si Qatar, Saudia wala Kenya huko.

Kwamba kumbe yote hii ni malipo tu ya uchaguzi baina kuwasabiria au kuwakomalia wenye maguvu yao?

Kwa hakika kams ndivyo, yawezekana hata wa Taleban, au kina Osama au huyu mwamba:

View attachment 3147673

wala si magaidi kwa tafsiri iliyopo!

Ya hivi si ndiyo yamekuwa yakiwasibu kwetu wengi wakiwamo mashehe, wafuasi wa CUF, Chadema, nk kila wapozikataa dhuluma za dola?

Kwa hakika si sahihi kuwaita au kuwahukumu watu kuwa magaidi pasipo na kuwasikiliza wao wenyewe wakijieleza.

Yawezekana wenye kutuhumu ndiyo haswa walio magaidi wenyewe!

"Kwamba ugaidi ni dhana ya mabeberu ubeberu unapopingwa, kumbe hiyo ituhusu vipi sisi?"

Vyombo vya habari si vya kuamini sana, tena kwenye face value.

Hatari sana!
Kwan hamas mpaka muda huu wamekufa wangapi mkuu
 
Jo

Ina maana nyie waislam mmehalalishiwa kuvamia kijiji na kuua watu lakini nyie mkiuwawa mnaanza kulalama.Kuna tofauti gani kati ya yale ya trh 07October 23 na yanayoendelea Gazq?
Kumbuka ulimwengu wote wa kiislam ulishangilia kwa yale mauaji.
Sisi wapenda haki tunasema wacha yahudi atembeze kichapo.

Nianze kwa kukwambia miye si mwislam wala sijawahi kuandika lolote kwa niaba ya uislam popote!

Pili, walioshangilia Oct 7 ni wengi mno walio waislam na wasio waislam. Kumbuka Oct 7 ina historia yake wala haikuzuka kama upepo kutokea kusikojulikana.

Kumbuka 7 ilikuwa ni operation ya ukombozi ya wapalestina kwenye maeneo ya uvamizi:

IMG_20240508_164459.jpg



Kwamba kibaka kwenye eneo la wizi ulipenda apewe pilau?

Sasa rejea kwenye mada ufahamu inahusu maana ya ugaidi:

"Kwamba ugaidi ni mauaji ya watu wasiokuwa na hatia."

Tofautisha watu wasiokuwa na hatia na walowezi kwenye maeneo ya wezi.

Ni hayo tu ndugu mjumbe.
 
Magaidi yanaua halafu yanakwenda kuishi mitaani waliko wanawake na watoto.Sasa mzayuni yeye hana cha salia mtume .anatandika tuu.
Hao wanawake na watoto walitakiwa kuyakimbia magaidi badala yake yanaishi na kula nayo kwa hiyo wote wanakwenda na maji
Ningeshaangaa nisingekutana comment kama hii
 
Wapi hakujajadiliwa jambo kwa staha?
Katika Mila na Desturi za Kiafrika Wafu huheshimiwa unapoambiwa kuwa Mzazi wangu ni Marehemu inapidi kuomba radhi mara moja na kutoa pole.

Lakini kushupaza shingo for the sake of argument sio powa kabisa.
 
Mission ya Israeli ni kuwaua wapalestina wote waishe ndio maana wao kuuwa kwa wingi ndio kipaumbele na wapalestina wanalijua hilo ndio maana Gaza na West Bank Binti akishavunja uongo tu anaolewa anaanza kuzaa. Kule West Bank na Gaza kukuta Binti wa miaka 20 ana watoto 6 au 7 ni jambo la kawaida kabisa.
 
Nianze kwa kukwambia miye si mwislam wala sijawahi kuandika lolote kwa niaba ya uislam popote!

Pili, walioshangilia Oct 7 ni wengi mno walio waislam na wasio waislam. Kumbuka Oct 7 ina historia yake wala haikuzuka kama upepo kutokea kusikojulikana.

Kumbuka 7 ilikuwa ni operation ya ukombozi ya wapalestina kwenye maeneo ya uvamizi:

View attachment 3147835


Kwamba kibaka kwenye eneo la wizi ulipenda apewe pilau?

Sasa rejea kwenye mada ufahamu inahusu maana ya ugaidi:

"Kwamba ugaidi ni mauaji ya watu wasiokuwa na hatia."

Tofautisha watu wasiokuwa na hatia na walowezi kwenye maeneo ya wezi.

Ni hayo tu ndugu mjumbe.
Wale waliouwawa 07Oktoba walikuwa na hatia?
Israel akijilinda kwa kuwasaka mateka wake waliokamatwa na Hamas ni hatia
Tukiita kile kinachofanyika Gaza ni Operation maalum ya kuondoa ugaidi kama ulivyoiita ile ya 07/10 kuna tofauti?
Wewe ni muislam usijitoe ufahamu
 
Ningeshaangaa nisingekutana comment kama hii

Kwamba haupo uhalali wa kumwua binadamu asiyekuwa na hatia kwa sababu yoyote au ni mpaka yawakute Binafsi?

Ya kuwa mkuki Kwa nguruwe siyo? Kwamba ni ubinafsi uliopitiliza siyo?

HAina shaka hiyo statement ni ugolo kama mwingine wa sokoni tu.
 
Mission ya Israeli ni kuwaua wapalestina wote waishe ndio maana wao kuuwa kwa wingi ndio kipaumbele na wapalestina wanalijua hilo ndio maana Gaza na West Bank Binti akishavunja uongo tu anaolewa anaanza kuzaa. Kule West Bank na Gaza kukuta Binti wa miaka 20 ana watoto 6 au 7 ni jambo la kawaida kabisa.
Kama kule ulaya na Tanzania jamaa wanavyozaliana kusudi huko mbele watawale
 
Wale waliouwawa 07Oktoba walikuwa na hatia?
Israel akijilinda kwa kuwasaka mateka wake waliokamatwa na Hamas ni hatia
Tukiita kile kinachofanyika Gaza ni Operation maalum ya kuondoa ugaidi kama ulivyoiita ile ya 07/10 kuna tofauti?
Wewe ni muislam usijitoe ufahamu

Nakumbushia tena:

1. miye si mwislam.

2. October 7 haikutoke out of the blue.

3. Waliokuwa kwenye maeneo ya uvamizi hawezi kuitwa raia wasio na hatia.

4. Jambazi linashambuliwa la uvamizi haliwezi kudai haki ya kujilinda kwenye eneo hilo.

Nime summarize tena niliyokwandikia.

Muhimu kujikita kwenye hoja Kwa kuleta ushahidi si maneno matupu ambayo kimsingi ni kama ugoro mwingine tu.
 
Katika Mila na Desturi za Kiafrika Wafu huheshimiwa unapoambiwa kuwa Mzazi wangu ni Marehemu inapidi kuomba radhi mara moja na kutoa pole.

Lakini kushupaza shingo for the sake of argument sio powa kabisa.

Hayupo mfu mmoja ambaye hatumthamini ikiwamo 70% mnaokenua mno wauliwapo!

Ni Osama au huyo mwamba waliombagaza Salenda kuwa ni gaidi, inakukera mno tukisema aliuawa kigaidi katika kuisimamia heshima yake na laani dhuluma kwake?

Mauaji Salenda: Wahusika wote, Waziri na Sirro Wawajibishwe

Au mnadhani mnaokenua kwingine wanakouliwa hawana ndugu au wazazi?

Jiridhishe hauko usingizini, kitanda unaweza dhani ch*oni.
 
Ingelikuwa ni vizuri kwanza unitake Radhi halafu tuendelee na Mjadala.

Onyesha ulipokwazwa tukutake radhi.

Ninauhakika hautapaonyesha Kwa sababu hakuna.

Bwana Utam, Tlaatlaah, Mzee Kigogo, binti kiziwi hebu oneni huyu ndugu akiita wengine magaidi kakerwa na nini huyu kwenye uzi wa wazi kama huu, kutaka aombwe radhi?

NB: Hallucinations ni ugonjwa!
 
Back
Top Bottom