70% ya wahanga Gaza na Lebanon kunakosemekana kuuwawa magaidi, ni wanawake na watoto. Yawezekana maana ya neno gaidi haijulikani!

70% ya wahanga Gaza na Lebanon kunakosemekana kuuwawa magaidi, ni wanawake na watoto. Yawezekana maana ya neno gaidi haijulikani!

Eliminated hamas women

1. Kwa hiyo hawa:

IMG_20241109_094145.jpg


ni waongo?

2. Bure kabisa!
 
Hao wapigwe tu .........kilichowafanya wanaua watanzania bila hatia.............hao UN wa huko gaza pia ni magaidi tu bonda sana netanyahu hakuna kubakiza hata kucha...........

1. Watanzania waliuliwa kwenye maeneo ya uvamizi.

2. Maeneo ya uvamizi ni shabaha halali ya vita.

3. UN si gaidi bali auaye hata mtu mmoja asiyekuwa na hatia.
 
Dunia ifanyaje labda? Hisbollah na Hamas walianzisha vita acha Israel imalize

1. Kwamba?

IMG_20240508_164459.jpg


2. Basi ni ujinga uliopitiliza kudhani HAMAS au Hezbollah walianzisha vita hizi!
 
Na mission ya waarabu/ wapalestina ni kuwaangamiza wayahudi wote popote walipo. Na ndio maana Oct 7 walifyeka wayahudi zaidi ya 1200 ndani ya masaa 8.
Kila mmoja anamvizia mwenzake ammalize

1. Haya unawasemea wewe kama tulivyoambiwa CUF, Chadema nk walikuwa magaidi.

2. Kwani Hamza ilikuwa je?

3. Bila kusahau Oct 7 did not happen from nowhere!

IMG_20240508_164459.jpg


4. Jambazi kufyekwa kwenye eneo la uvamizi ni shabaha halali jitihada zote za kukuelimisha zikishindikana.
 
Imekuwa ikiripotiwa na vyombo vya habari vyenye kuegemea magharibi kuhusu magaidi na ugaidi; wengine tukashadadia.

Kwamba Israel inapambana na magaidi, na kutokea Oct. 7, 2023 takwimu ndiyo hizi:

View attachment 3147671

Bila shaka ndiyo maana kina Mandela, Gaddafi, Saddam, Castro, nk waliitwa magaidi. Kama ilivyo kwa Iran au North Korea. Lakini si Qatar, Saudia wala Kenya huko.

Kwamba kumbe yote hii ni malipo tu ya uchaguzi baina kuwasabiria au kuwakomalia wenye maguvu yao?

Kwa hakika kama ndivyo, yawezekana hata wa Taleban, au kina Osama au yule mwamba Salenda, wala si magaidi kwa tafsiri iliyopo!

Ya hivi si ndiyo yamekuwa yakiwasibu kwetu wengi wakiwamo mashehe, wafuasi wa CUF, Chadema, nk kila wapozikataa dhuluma za dola?

Kwa hakika si sahihi kuwaita au kuwahukumu watu kuwa magaidi pasipo na kuwasikiliza wao wenyewe wakijieleza.

Yawezekana wenye kutuhumu ndiyo haswa walio magaidi wenyewe!

"Kwamba ugaidi ni dhana ya mabeberu ubeberu unapopingwa, kumbe hiyo ituhusu vipi sisi?"

Vyombo vya habari si vya kuamini sana, tena kwenye face value.

Hatari sana!
Kwenye nukuu yako ya kingereza, wapi duniani ulisikia vita vikawa na macho?

Wanawake na watoto si wanakuwemo ndani ya makazi ya adui anayelengwa?

Vita vikiingia katika nchi, haviwahusu wanajeshi pekee, ndiyomaana mchina huviita vita kuwa ni vya umma.

Kikubwa ni kuiepusha nchi isiingie kwenye vita visivyo vya lazima.
 
1. Umetambua kwenye mada HAMAS kama tulioamnishwa kwetu yawezekana siyo magaidi?

2. Umetambua kwenye mada gaidi ni nani Kuna kulishana matango pori kwingi ambapo hata Osama anaweza kuwa mhanga wa ugaidi.

3. Hata kama mawili hayo hapo juu siyo kweli na kuwa kwa uhakika HAMAS ni magaidi wewe au Kigogo Mzee mliwahi kusikia hii:

View attachment 3148189

4. Kwa kuwa ugaidi ni jaribio lolote la kuuwa yoyote asiye na 70% ya wahanga wa Israel ni watoto, haipo shaka gaidi wa wazi ni huyu kipenzi chenu labda Kwa tafsiri tofauti ya neno ugaidi.

5. Hapo #4 ndipo ulipo msingi wa hoja.
Rudi kwenye hoja. Umesema asilimia kubwa waliokufa ni watoto na wamama. Swali linakuja hamas wamekufa wangapi?
 
1. Watanzania waliuliwa kwenye maeneo ya uvamizi.

2. Maeneo ya uvamizi ni shabaha halali ya vita.

3. UN si gaidi bali auaye hata mtu mmoja asiyekuwa na hatia.
Sasa Kama walivamiwa na kuuwawa na unasema ni shabaha halali ya vita. Yaani una hakili fulani ya kuona halali wapalestina kuuwa wayahudi Ila siyo halali wayahudi kuuwa wapalestina.
 
1. Watanzania waliuliwa kwenye maeneo ya uvamizi.

2. Maeneo ya uvamizi ni shabaha halali ya vita.

3. UN si gaidi bali auaye hata mtu mmoja asiyekuwa na hatia.
Unaongea kama umebwana na mavi...........sasa wewe unabisha nini wakati watu wamekuja na ushahidi kabisa kuwa sever za UN zilikuwa zimefungwa kwenye ofisi za hamas.........sasa hapo pia unataka kubishana ? Mabosi wa UN huko gaza walikuwa wanachama wa HAMAS sasa hapo pia unataka kubishana?........na hata kuuliwa wale watanzania lilikuwa ni kosa maana jamaa walikuwa weusi kabisaa bila hata kuwapa muda wa kuwahoji sababu au kusikia chochote kilichowaweka pale mbona waliteka waisrael kadhaa na kuondoka nao bila hata kuwaua au sababu yao wale ni weusi ndio maana wakauliwa??........hebu vaa uhusika wale wawe kama ni ndugu zako je ungecoment hivyo?? Achana na udini .........hizi dini walizireta wao ili wabaki na wajinga wajinga kama wewe
 
Kwamba mwenye kujitambua utakuwa wewe kuliko UN?

View attachment 3147822

Hivi kupata hoja za kipumbavu kama yako baada ya ,149 niweke option gani kabla ya kubonyeza reli?
wametaja nan kafanya genocide ? Wajibu wa hamas ni kuwabakisha raia vitani au kuwatoa nje ya uwanja wa vita km IDF kisha wabakie wao Hamas wapigane vita walivyoanzisha , HII INAHITAJI ELIMU YA MASTERS KUELEWA AU UNAHITAJ MAOMBI SHEIKH MAANA AKILI YKO HAIFANY KAZ BALI MAHABA NDO YANAKUSUMBUA
 
Unaongea kama umebwana na mavi...........sasa wewe unabisha nini wakati watu wamekuja na ushahidi kabisa kuwa sever za UN zilikuwa zimefungwa kwenye ofisi za hamas.........sasa hapo pia unataka kubishana ? Mabosi wa UN huko gaza walikuwa wanachama wa HAMAS sasa hapo pia unataka kubishana?........na hata kuuliwa wale watanzania lilikuwa ni kosa maana jamaa walikuwa weusi kabisaa bila hata kuwapa muda wa kuwahoji sababu au kusikia chochote kilichowaweka pale mbona waliteka waisrael kadhaa na kuondoka nao bila hata kuwaua au sababu yao wale ni weusi ndio maana wakauliwa??........hebu vaa uhusika wale wawe kama ni ndugu zako je ungecoment hivyo?? Achana na udini .........hizi dini walizireta wao ili wabaki na wajinga wajinga kama wewe
watu weusi wangese sn , imekaza mikund kushabikia waarabu na kuona sw tu vifo vya watu wenzao
 
".. wengine tukashabikia bila kuhoji."

Yawezekana akina Osama, Taleban, HAMAS, Hezbollah, Houthi, Iran nk kama tungewasikiliza wenyewe; tungekuwa na mtizamo tofauti.
unamsikilizaj mtu analipua nchini kwenu ?-mwingine anafadhiri vikundi huko kibiti na msumbiji
 
Mimi huwa nashindwa kuwaelewa wafia dini mnawapongeza hamas wanapoishambulia israel na kuua wayahudi, kubaka, kuteka, kuchinja wayahudi na kuwashikilia mateka vibibi, vitoto vya kiyahudi , kuwarushia maroketi ila upande wa pili mnalia lia wapalestina wanauawa militaka israel ifanyeje ili hali hamas wamechagua njia ya vita kumkabili myahudi na vita ni kuuana
For what Hamas did on october 7 2023, all idiots they espected Israel to send flowers to them not air strikes.
 
1. Kwamba?

View attachment 3148195

2. Basi ni ujinga uliopitiliza kudhani HAMAS au Hezbollah walianzisha vita hizi!
Nani kaanzisha ewe uliyejaa na akili za makamasi.. elezea imeanzaje let's debate tukutoe ujingani uache ushabiki.. even Mahakama za dunia zikisikiliza kesi Arabs anaangukia pua kama Haris. Na nikuambie ukweli hao waarabu unaowaona Gaza, judea na Samalia ni kwa hisani ya Israel tu kama ni kisasi leo tusingesikia kuna wapalestina.. kwa sababu walikuwa wachache mno now wamejaa kila kona wanajiona wao ndio wao.. dawa ishaanza kuwaingia
 
Back
Top Bottom