8/02/2015: Yanga vs Mtibwa match preview and live coverage

so mpira ukiisha hivi NdaLa ndio bingwa au? msaada tafadhali
 
Muda si mrefu mikia watapotea humu. Kesho utasikia wanataka Mkutano mkuu wa club. Safari hii mkafanyie Bunju kabisa. Mjini hatutaki fujo.

ndala fc kwa kuchonga.....!!!
 
2-0? Hapa kuna mkono mchafu wa Manji
 
Aahaaaa namuona mwigulu nchemba meno 32 yote njee mikia haoo wanakimbia
 
Mtibwa tapwatapwa hapa taifa, timu ya wananchi inapiga mpira mkubwa.
 
Mwigulu kiti hakikaliki kwa furaha kweli mtibwa kapoteana.
 
Hii game ilikuwa ya kushinda hata goli 6
 
Huyu kuburu ndo nn kupepesa macho namna hii????mikia achen ulozi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…