MIXOLOGIST
JF-Expert Member
- Mar 1, 2016
- 14,311
- 36,056
- Thread starter
-
- #361
Ngoja wenye habari za mume mwema kutoka kwa manabii waje, lakini nadhani ni yule mwenye wake na michepuko ya kutosha kama nabii SuleimanKama hatujui mume mwema yukoje,usituletee habari za mke mwema yukoje
Kwa hiyo wewe ulitaka upatiwe hizo private parts bure? Sasa nini maana ya private?Sina shida na watoa huduma,its willing buyer and seller relationship, shida iko kwa wale ambao wanatutengeneza, yaani unalipia private parts indirectly and unwillingly
Nyeti nyingi za wanawake siyo private tena, zimeonwa na watu wengiKwa hiyo wewe ulitaka upatiwe hizo private parts bure? Sasa nini maana ya private?
Mithali 31:10-31
Mke mwema, ni nani awezaye kumwona? Maana thamani yake yapita thamani ya marijani. Moyo wa mumewe humwamini, Wala hatakosa kupata mapato.
Humtendea mema wala si mabaya, Siku zote za maisha yake. Hutafuta sufu na kitani; Hufanya kazi yake kwa moyo wote. Afanana na merikebu za biashara; Huleta chakula chake kutoka mbali. Tena huamka, kabla usiku haujaisha; Huwapa watu wa nyumbani mwake chakula; Na wajakazi wake sehemu zao. Huangalia shamba, akalinunua; Kwa mapato ya mikono yake hupanda mizabibu. Hujifunga nguvu viunoni kama mshipi; Hutia mikono yake nguvu. Huona kama bidhaa yake ina faida; Taa yake haizimiki usiku.
Hutia mikono yake katika kusokota; Na mikono yake huishika pia. Huwakunjulia maskini mikono yake; Naam, huwanyoshea wahitaji mikono yake. Hawahofii theluji watu wa nyumbani mwake; Maana wote wa nyumbani mwake huvikwa nguo nyekundu. Hujifanyia mazulia ya urembo; Mavazi yake ni kitani safi na urujuani. Mume wake hujulikana malangoni; Aketipo pamoja na wazee wa nchi. Hufanya nguo za kitani na kuziuza; Huwapa wafanya biashara mishipi.
Nguvu na hadhi ndiyo mavazi yake; Anaucheka wakati ujao. Hufumbua kinywa chake kwa hekima, Na sheria ya wema iko katika ulimi wake. Huangalia sana njia za watu wa nyumbani mwake; Wala hali chakula cha uvivu. Wanawe huondoka na kumwita heri; Mumewe naye humsifu, na kusema, Binti za watu wengi wamefanya mema, Lakini wewe umewapita wote. Upendeleo hudanganya, na uzuri ni ubatili; Bali mwanamke amchaye BWANA, ndiye atakayesifiwa.
Mpe mapato ya mikono yake, Na matendo yake yamsifu malangoni.
Hivi wewe unaishi sehemu gani Tanzania hii?Hapo ndo mzizi wa hilo tatizo ulipo, unaobwa pesa na mwanamke baada ya wewe kumtongoza alafu unalalamika? Mwanaume ni mtawala hivyo ukitaka kutawala vizuri uwe na uchumi mzuri yaani jasho lako liwe kubwa alafu tafuta mwanamke wa sifa zako unazopenda muhudumie kwa ufahari kabisa na tabia utakuwa huru kumuonya tabia mbaya usizopenda na hapo atakuwa ni mkeo Sasa mwaume analalamika kuobwaobwa pesa na wanawake anaowatongoza kwani nani amekwambia utongoze hovyo hovyo? Wakati uliambiwa utafute wa kufanana na wewe na ukimpata utajisikia fahari kumuhudumia.
Tatizo mnaokota malonya Club.Kilichomtokea Jamaa ako kimenitokea mm jana acha niamke nijiandae nikiwa naelekea job ntakuja na Story kama ya jamaa ako mpaka sa hivi nataka tu ninwache huyu mwanamke
Shukran kwa dua njema. Bila nyinyi yasingewezekana yote.Ni kweli kabisa, anapokea kila mtu pale kwake, vijana na wazee, wake kwa waume, anaowafindosha kazi mbali, anaowafundisha ufundi mbali, anaowafundisha ujasiriamali na kutafutia mitaji mbali, anaowapatia ukulima mbao. Ilimradi kwa Mzee Abdul ushindwe mwenyewe tu.
Nilivypasikia nilikuwa siamini ikabidi nimtumie whatsapp kwa namab ya mtu nijifanye kama mimi ni single mother mwenye mahitaji maalum. Alinijibi kwa ufupi tu, njoo huku kwetu tuone tutanyanyuana vipi, unaishi wapi sasa hivi? Nikamwambia nipo Manzese kwa rafiki yangu, akaniuliza "utaweza maisha ya kwetu huku nje ya mji"? Kama utaona taabu siku ya Jumamosi tutampa mtu namba zako atakutafuta anakuja huko mjini, aone jinsi ya kufanya. Mie mwenyewe nikaonaa enheeeee, nimebeep amepiga. Nikamtumia message nikamwambia, asihangaike kumtuma mtu nimeongea na mdogo wangu kaniambia nikaishi kwake. Yalkaishia hapo.
Siku nyingine nikamtafuta kama ni mtu atakae kusaidia sadaka zake, akanambia "hatupokei sadaka za samaki" njoo huku uone sadaka zako zinavyoweza kurudi tena kwako, njoo uwekeze kwenye mambo ya waja wema. Hatutaki sadaka bila kuifanya kuwa endelevu. Haapo nikamshangaa sana na bado naendelea kumdadisi, nimeanza kuipata picha, ana very simple but highly effective ideas za empowerment. Tena akanifahamisha kuwa hata wao hawatoi sadaka ya samaki, wanakupa nyavu ukavue ili nawe uendeleze wengine. Siwezi kuyaeleza mengi aliyonifahamisha, atakae kuyafahamu amwandikie whatsapp, kanoiruhusu niitangaze namba yake, Hana neno.
Allah amzidishie kila la kheri, yaani kwanza utapoongea nae tu, unatambua kuwa huyu mtu yupo serious na anachokifanya.
Abdul Ghafur, hongera sana kwa juhudi zako. Allah akupe umri mrefu uwe mfano mwema wa kuigwa hata na serikali.
Utaishia kulipwa kwa kula mbususu tuu hapoMy niazime laki 8 nataka nikachukue mzigo kariakoo. Nikishauza nitakurudishia!!
🙏Mithali 31:10-31 SRUV
Mke mwema, ni nani awezaye kumwona? Maana thamani yake yapita thamani ya marijani. Moyo wa mumewe humwamini, Wala hatakosa kupata mapato. Humtendea mema wala si mabaya, Siku zote za maisha yake. Hutafuta sufu na kitani; Hufanya kazi yake kwa moyo wote. Afanana na merikebu za biashara; Huleta chakula chake kutoka mbali. Tena huamka, kabla usiku haujaisha; Huwapa watu wa nyumbani mwake chakula; Na wajakazi wake sehemu zao. Huangalia shamba, akalinunua; Kwa mapato ya mikono yake hupanda mizabibu. Hujifunga nguvu viunoni kama mshipi; Hutia mikono yake nguvu. Huona kama bidhaa yake ina faida; Taa yake haizimiki usiku. Hutia mikono yake katika kusokota; Na mikono yake huishika pia. Huwakunjulia maskini mikono yake; Naam, huwanyoshea wahitaji mikono yake. Hawahofii theluji watu wa nyumbani mwake; Maana wote wa nyumbani mwake huvikwa nguo nyekundu. Hujifanyia mazulia ya urembo; Mavazi yake ni kitani safi na urujuani. Mume wake hujulikana malangoni; Aketipo pamoja na wazee wa nchi. Hufanya nguo za kitani na kuziuza; Huwapa wafanya biashara mishipi. Nguvu na hadhi ndiyo mavazi yake; Anaucheka wakati ujao. Hufumbua kinywa chake kwa hekima, Na sheria ya wema iko katika ulimi wake. Huangalia sana njia za watu wa nyumbani mwake; Wala hali chakula cha uvivu. Wanawe huondoka na kumwita heri; Mumewe naye humsifu, na kusema, Binti za watu wengi wamefanya mema, Lakini wewe umewapita wote. Upendeleo hudanganya, na uzuri ni ubatili; Bali mwanamke amchaye BWANA, ndiye atakayesifiwa. Mpe mapato ya mikono yake, Na matendo yake yamsifu malangoni.
Hawa wadada wanaokuja na mimba ya zaidi ya miezi saba huku kwenye mihangaiko sio wenzenu au?Ni kweli kabisa utoto unasumbua....
Ni kweli kiasilia mwanaume ni mtoaji sababu sisi kiasilia ndio tunabeba mimba na kulea,hivyo most times hatuko kwenye shughuli za kimaendeleo...na tunategemea 'resources' kutoka kwa mwanaume..ni trait tunayo share na wanayama wengi kasoro simba.
Sasa si tutachelewa kupata utelezi? Mfano niko hapa Dom kikazi kwa wiki moja, kuna Katoto kakaliii halafu kamefungasha na kila idara kako vizuri... Yaani posho ya siku mbili leo ni halali yake ili niteleze...Kama waombwaji wangeacha kutoa pesa na vitu vingine hii tabia inge kufa.
Sasa si tutachelewa kupata utelezi? Mfano niko hapa Dom kikazi kwa wiki moja, kuna Katoto kakaliii halafu kamefungasha na kila idara kako vizuri... Yaani posho ya siku mbili leo ni halali yake ili niteleze...
Sikuwa na nia mbaya ChristineAisee naona watu wenye kazi mnatinanga sana tusio na kazi!
Ila jueni tu kuwa na sisi hatujapenda tukose kazi bado tunahangaika kutafuta
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila kwenye sanaa (bongo movie, bongo fleva) wamejazana sana hawa viombi.Kila mahali mkuu, tuna suffocate