80% ya Wanawake Tanzania ni 'omba omba'

shida hamdangi kwa viwango vya kimataifa, mnadangisha kiboya. Yaani umetongozwa saa 8:54, saa 8:55 invoices zinaanza
Hawawezi kuwa level moja ya kimataifa,ndio maana kuna matajiri na masikini. Dunia haiko na usawa...mbona hili lipo wazi? Wote wakiwa matawi ya juu wale wateja wa hali ya chini watakuwa hawatatendewi haki
 
Hawawezi kuwa level moja ya kimataifa,ndio maana kuna matajiri na masikini. Dunia haiko na usawa...mbona hili lipo wazi?
Wote wakiwa matawi ya juu wale wateja wa hali ya chini watakuwa hawatatendewi haki
issue ni namna ya kudangisha na siyo mapato ya udangishaji
 
Mi sioni kama nna cha ku add hapa maana umeona the difference mwenyewe like huombi kila siku na ukiombwa unajua kweli leo mwenzangu kakamatika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…